Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Kwa hiyo kama kiongozi anaengoza watu kiroho unaona ni sawa kuficha Maovu na ukumbuke kaamua kusema hayo ili kuokoa vizazi vya watawala wengine makatili kama huyo Mzee wenu anayeliwa na mchwaNa huyo askofu hafai kuwa askofu Ni mjinga haiwezekani mtu anakuja kutubu we unatoa siri. Wakati miiko unaijua kwamba Siri hiyo Ni ya wewe askofu, muhusika pamoja na Mungu.
Usiseme katili jpm Ni Kama netanyahu alikuwa anashughulikia majizi na majambazi Kama wewe Tena sijui kwanini ulisevu mshenzi wewe!Kw
Kwa hiyo kama kiongozi anaengoza watu kiroho unaona ni sawa kuficha Maovu na ukumbuke kaamua kusema hayo ili kuokoa vizazi vya watawala wengine makatili kama huyo Mzee wenu anayeliwa na mchwa
Rushwa hupofushaHawa hawa chadema ndo walikua hawataki covid19 waapishwe had magufuli akuombe weew uongee na mbowe?!!! Then imekuaje mbona wako upande wa mbowe had leo?!
Matako yakoUsiseme katili jpm Ni Kama netanyahu alikuwa anashughulikia majizi na majambazi Kama wewe Tena sijui kwanini ulisevu mshenzi wewe!
Askofu wa nyoko!
Hahahaa Kama ya nyoka sio!Matako yako
Hukumbuki hata The Late mama yake mzazi alikuwa akilalamika kuwa Kabendera ndo msaada wangu mkubwa.Kabendera aliteswa kivipi kwani kupelekwa mahakamani ni kuteswa?
Kwahiyo ulijua ni igizo????Kama ni hivyo Mo atakuwa alitekwa kweli!
Pumbavu kwelikweli.Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu
Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Sasa hapo tatizo liko wapi Sasa kama mtu ana makosa ulitaka aachiwe kisa ni msaada Kwa mamake je itabidi tuwaachie wafungwa wote Kwakuwa ni msaada Kwa watu wao wa karibu.Hukumbuki hata The Late mama yake mzazi alikuwa akilalamika kuwa Kabendera ndo msaada wangu mkubwa.
Hadi yule mama akapata ugonjwa then akafa nae Kabendera akazuiwa kwenda kumzika mama yake mzazi.
Au mwenzetu hukuepo kwenye hii nchi nini???
Pumbavu!Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu
Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Ndio maisha yetu sisi wamatumbi kwani vipi?
Kutumia muda wangu Kusoma hicho Kitabu ni heshima kubwa nitakuwa nimempa.
Alikwambia amekichapisha ili aendeshe familia au we ndio mkewe?
Kwa hiyo wewe ni mkweli? Haya tueleze wakina Gwanda, Ben wako wapi? Mwenzio kaeleza kuwa waliuawa kwa mkono wa Magufuli. Mwambie huyo mwandishi alete uthibitisho na wewe ulete uthibitisho kuwa hao wawili ni waongo. Au ukae kimya.Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu
Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Umeelezea Vizuri ila hapo mwisho umepuyanga puyanga kama Panya Buku Wewe hayajakukuta ndugu yako auwawe na hata maiti msiione kama kina Ben Saa 8 Mambo mengine usi reasoning kihisia badala ya kutumia Akili yako
Ww utakuwa ni mzee lazima, maana wazee ndio huamini propaganda za aina hii. Nakushauri mzee wangu amka, kizazi hiki sio cha propaganda za aina hiyo.
Ulikuwa ni utawala fulani usiofata sheria kuna watu walikuwa juu ya sheria wengine chini ya sheriaLegasi sio nzuri sana kwa wale wenye Akili zinazodanganyika kirahisi sana 😳 !