Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Kwa maneno mengine, Askofu anatuthibitishia kwamba yaliyoandikwa katika kitabu cha Kabendera ni kweli kwani naye alipewa taarifa hizohizo ila hakuwahi kuzisema kokote.
Yes ,

Na kitu kingine ambacho Askofu amekielezea hapa ni kuwa iliandaliwa pesa nyingi sana ya kuhakikisha wale wabunge 19 wa viti maalumu wanaingia bungeni.Yeye askofu alikataa hiyo aliyoiita dili.Lakini kwakuwa tunajua sasa kuwa walienda bungeni,basi tuna uhakika kuwa kuna watu walikula hiyo pesa ndefu....Nani walikula hiyo pesa?Mcha kato unaoendelea wa uchaguzi wa mwenyekiti na makamu mwenyekiti chadema umetupa majibu yote hadi sasa......

Tunategemea vitu vingi kujulikana zaidi ingawa vingine vinafichwa katikati ya mistari kwenye maandishi ya kifalsafa kama hili andiko la Askofu.
 
Mkienda kutubu kwenye mtandao wa "Sisi Askofu" mtandao unarekodi na kuweka backup data zote mshaambiwa.

Sisi Askofu Mwamakula.
 
Humu kuna watu na mahaba yao wanamchukulia Magufuli kama mtakatifu.
Niseme tu kuwa pamoja na mazuri yake lakini pia alikuwa na mabaya yake tena mengi mno.
 
Kwa nini mnajitoa ufahamu kwa sentensi hii
Mnajitoa ufahamu. Nani angesema haya akaendelea kuishi.
Nani angetaka kufa kabla kwa kuyasema hayo mbele ya jiwe akaendelea kuishi ? Msijitoe ufahamu.
 
Rais Bora kumpita Nyerere aliyetuachia viwanda zaidi ya 400, migodi, shule bure mpaka university, afya bure.
 
Mbona mnarudia kusema alipaswa kusema kabla. Angesemea wapi na kwa nani ? Humu wote ni I'd ya kificho mpaka wewe.
 
da!!!...noma kuliko noma yenyewe!!!!
 
Tulikotoka kwa udongo na tutarudi kwa udongo,Ukifa,umekufa haturudi kuishi hadi kiama!, Matendo uliyotenda ukiwa hai,ndio utaambatana nayo.Mungu mwema,tutende mema.
 
Huyu Mtumishi wa Mungu aliyehai anasema taarifa zilimtisha na tena zikampa matumaini? How?
zilimpa matumaini? mema au mabaya.kama ni mabaya yaletayo furaha ya moyo maana yake kulikuwa na mipango mibaya juu ya mtu yule
 
Kuna lijamaa ililikuwa kinaitwa Chacha jeusi hivi refu liliuwa sana naye Sasa hivi anaweweseka tu...
 
Na kwanini pia hamtaji yule aliye hai, aliyetumwa kwake amshawishi awashawishi mbowe na pia kumtishia kifo. Amtaje basi kama ni kweli ili tumsikie akikanusha au kukubali alitumwa na Magufuli. Vinginevyo huu ni uongo na uzushi kwani wanajua Magufuli hawezi kujibu. Wawahusishe kwa kuwataja wasaidizi wa Magufuli ili wajibu na sio kuzushia uongo kaburi.
 
Kama ndo hivo kwa nini mnamsimanga aliewafungulia milango ya kuyasema haya? Au wanafiki wakubwa tu,maana miongoni mwenu mmethubutu kusema bora ya mjomba kuliko bibi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…