Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Ndugu askofu hapo unayumba sana

Umesema mambo hayo ni siri kati yako na mtubio

Kitabu kimeandikwa unaafikiana nacho

Sasa which is which??

Kwa hiyo unauthibitishia umma kuwa huu ni ukweli mtupu???


Nah umechelewa sana, ungekuwa na mashiko kama ungeyasema hayo mwanzo
 
Wewe ni nini ulisema Magufuri akiwa hai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…