Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Ndugu askofu hapo unayumba sana

Umesema mambo hayo ni siri kati yako na mtubio

Kitabu kimeandikwa unaafikiana nacho

Sasa which is which??

Kwa hiyo unauthibitishia umma kuwa huu ni ukweli mtupu???


Nah umechelewa sana, ungekuwa na mashiko kama ungeyasema hayo mwanzo
 
Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu

Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Wewe ni nini ulisema Magufuri akiwa hai?
 
Back
Top Bottom