Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu

Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Mkuu kuna mtu gani angeweza kusema uovu wa JPM akiwa hai? Acha ungese aisee.
 
Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu

Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Acha kutetea uovu. Kwani Magufuli alikuwa mungu? Kwanini asingiziwe? La muhimu sasa ni kuweka wazi maovu yaliyofanywa na kufanya upatanisho ili damu zisizo na hatia alizomwaga zisilete athari kwa taifa!
 
Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu

Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Kwani nae askari amekufa!
 
Biblia
'Hosea 4:6'
6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
 
Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu

Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
😡
 
Ndugu askofu hapo unayumba sana

Umesema mambo hayo ni siri kati yako na mtubio

Kitabu kimeandikwa unaafikiana nacho

Sasa which is which??

Kwa hiyo unauthibitishia umma kuwa huu ni ukweli mtupu???


Nah umechelewa sana, ungekuwa na mashiko kama ungeyasema hayo mwanzo
Kigogo2014 aliandika saba mambo hayo ni nyie tu mliziba maskio na macho
 
Back
Top Bottom