Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kumchafua mtuNamna gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumchafua mtuNamna gani?
Mkuu kuna mtu gani angeweza kusema uovu wa JPM akiwa hai? Acha ungese aisee.Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu
Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Acha kutetea uovu. Kwani Magufuli alikuwa mungu? Kwanini asingiziwe? La muhimu sasa ni kuweka wazi maovu yaliyofanywa na kufanya upatanisho ili damu zisizo na hatia alizomwaga zisilete athari kwa taifa!Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu
Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Huu ujinga Kwa Kagame haupoNilikuwa napinga sana dhana ya Prof PLO Lumumba wa Kenya juu ya miradi ya " Religion Industry ". Nadhani ni muda muafaka kutafari msimamo wangu juu ya hili.
Oil huwa haichafuliwi.Kumchafua mtu
Yes!Kwa maneno mengine, Askofu anatuthibitishia kwamba yaliyoandikwa katika kitabu cha Kabendera ni kweli kwani naye alipewa taarifa hizohizo ila hakuwahi kuzisema kokote.
Bali?Oil huwa haichafuliwi.
Kwani nae askari amekufa!Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu
Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Kama ni hivyo Mo atakuwa alitekwa kweli!Nkikumbuka Kabendera alivoteswa.
Nkikumbuka Ben Saanane alivokuwa akilalamika anatishwa.
Nkikumbuka Yussuph Manji alivoteswa.
Nkikumbuka mkurugenzi wa stendi ya ubungo alivoanguka ghafla na kufa.
Mungu ndo mwamuzi.
Mnachekesha kweliHekima iliyo ndani ya kilindi cha moyo wa Rais Samia inaweza kumsaidia afanye nini kwa ajili ya familia hizo.
Pin pointZa kutisha: Matendo aliyoambiwa yanafanyika nyuma ya pazia.
Za matumaini: Mpango uliopo nyuma ya pazia kukomesha hivyo vitendo
Bado hamjasemaNdugu askofu hapo unayumba sana
Umesema mambo hayo ni siri kati yako na mtubio
Kitabu kimeandikwa unaafikiana nacho
Sasa which is which??
Kwa hiyo unauthibitishia umma kuwa huu ni ukweli mtupu???
Nah umechelewa sana, ungekuwa na mashiko kama ungeyasema hayo mwanzo
In that short period of time?!The Lissu and Mbowe saga "caught" them off guard! Apparently, the saga was trailing Mbowe to the link of some party members whereabout !!! Therefore, to the rescue, Kabe has to bring in the spoiler!
😡Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu
Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Kigogo2014 aliandika saba mambo hayo ni nyie tu mliziba maskio na machoNdugu askofu hapo unayumba sana
Umesema mambo hayo ni siri kati yako na mtubio
Kitabu kimeandikwa unaafikiana nacho
Sasa which is which??
Kwa hiyo unauthibitishia umma kuwa huu ni ukweli mtupu???
Nah umechelewa sana, ungekuwa na mashiko kama ungeyasema hayo mwanzo