Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Kwa maneno mengine, Askofu anatuthibitishia kwamba yaliyoandikwa katika kitabu cha Kabendera ni kweli kwani naye alipewa taarifa hizohizo ila hakuwahi kuzisema kokote.
Ben Saanane alitekwa na kikundi cha kina Makonda na kupelekwa Ikulu kwa Magufuli na alipigwa risasi hapo hapo Ikulu Dar es Salaam na Magufuli mwenyewe.

Taarifa hizi hata mimi niliambiwa mwaka 2020. Ni sasa tu Kabendera kaja kuzithibitisha kwenye kitabu chake.
 
COVID 19 ni dili ya Mbowe sasa sijui Askofu anataka kutuambia nini.

JPM alikuwa na nia ya dhati kabisa na nchi hii, kuitoa ilipo na kuipeleka mahala.
Wapumbavu wengi walitumia mbinu mbalimbali kumkwamisha katika nia yake hii na hapo ndio shida ilipoanzia.

JPM alipigana vita zote, za ndani ya chama chake CCM, nje ya chama chake wapinzania feki waliozoea kula kwa mongo wa siasa, wapinzania wa nje ya mipaka ya Tanzania waliozoea kuwaibia Watanzania na kula pamoja na Watanzania wenzetu ndani ya nchi.
Hizi vita alizopigana JPM ndio zimeleta uadui wote huu dhidi yake.

Leo CDM tunaona wanavyoshutumiana dhidi ya masuala ya rushwa, rushwa kutoka CCM, watu hawa hawa leo watamsema JPM, ugomvi wao na JPM nikuwakatia mirija na mafungu waliyokuwa wanapewa kuendesha upinzani feki.

JPM kuwakatia watu mirija ya hela za kuchezea ndani ya mifumo na kuwanyima watu fursa za kijingajinga kupeanapeana ajira, kuendesha semina na masafari ya nje pamoja na kufirisi baadhi ya watumishi na wafanyabiashara walioihujumu nchi NDIO KUMELETA NA KUZAA YOTE HAYA.

Wivu Kwa mageuzi aliyoyafanya JPM ambayo wengine yamewashinda mpaka Leo watu wamebaki na kinyongo na marehemu.
Mazishi ya kitaifa na response ya wananchi dhidi ya marehemu JPM imesababisha wivu kwa marehemu mpaka leo.

JPM alithubutu hata kureview mikataba ya Makampuni ya madini kwa manufaa ya Watanzania na sio wachache waliokuwa wanajichotea tu kupitia hizi kampuni kupitia vijana wao waliowapandikiza kila mahala.
Alichokifanya JPM ndio Leo hii tunaona kinatokea Mali, Niger,Burkina Faso nk.

JPM pamoja na mapungufu yake, ataendelea kuwa shujaa katika nchi hii na hawezi kufananishwa na Rais yeyote yule ukimtoa Nyerere.
Polee sana. Hakuna shujaa muuaji
 
what are you trying to tell in essense
Mimi sio sisiemu, sio cdm lkn katika marais waliowahi kuiongoza nchi yangu ya Tanzania wakwanza Ni nyerere wa pili Ni jpm.

Wapo marais wamepita lkn bado hawajawakaribia hata robo kwa uongozi na ushawishi, angalia hata misiba yao ilivyo na mguso kwa raia.

Najua pamoja na Mambo yote yanayoongelewa lkn hatujafahamu Nini walifanya wahanga kiasi Cha kupelekea kifo Chao. Tunachojua zaidi Ni tukio lakupotea. Na hata Kama wasingepotea sidhani Kama wangeweza fikia hata robo la aliyoyafanya rais. Kuna maumivu kwa familia na raia lkn haitoweza kubadilika. Kingine hayo Ni maneno watu waweke ushahidi hapa itakuwa rahisi kuamini.
 
W
Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu

Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
ameshaambiwa HACHAFUKI ! HACHAFUKI !HACHAFUKI !
Lakini bado wameshupaza shingo zao 😳🙄 !
 
Chawa wa marehemu kashikwa na uchungu wa ghafla maana haamini kama mabaya ya jiwe hatimaye yapo hadharani na kila mtu anajisomea.
Kutetea marehemu jiwe kuwa alikuwa mwema saana na hawezi kufanya mabaya inahitaji kuwa taahira wa kiwango cha juu sana.
Mfalme Daudi wa kwenye biblia pamoja na utakatifu wake alichukua mke wa mwanajeshi wake na akampiga mimba na akaamuru mumewe yaani huyo mwanajeshi apangwe mstari wa mbele vitani ili afe.
Na Daudi akauchuna ila Mungu kupitia nabii Nathan akamuumbua.

Sasa kama Daudi alipotoka kiasi hicho jiwe mvuta bhangi kichaa ni nani hata awe mtakatifu kiasi cha mtu kusema anasingiziwa why asisingiziwe Nyerere, Mkapa, Mwinyi, Kikwete?
Umemaliza kila kitu
 
JPM alitufunulia na kutuonyesha namna mambo mengi mazuri yanaweza kufanyika katika nchi hii na nchi ikaenda mbele kwa haraka.

Taifa hili hela nyingi inapotea mikononi mwa watu wasiowaaminifu kuanzia watumishi, wafanyabiashara na makampuni ya nje yaliyojikita kwenye fraud kwa kushirikiana na watumishi na viongozi.

Kupitia JPM watu wengi walijua shida ya nchi hii ni ombwe la uongozi na kukiwa na kiongozi shupavu basi mambo yanaweza kwenda kwa kasi.

Mapenzi ya wananchi mitaani dhidi ya JPM ni makubwa sana na ukweli uliowazi, WANANCHI WANAHITAJI JPM mwingine.

Binafsi kwangu JPM alikuwa na huruma sana, alipaswa kuua wapumbavu na wajinga weeengi sana katika nchi hii ambao wanaua watu kila siku kupitia upumbavu wao.
 
Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu

Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Yule kwanza sio Askofu tulishamfukuza muda mrefu.
 
Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu

Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Ukiwa baba wa familia mwanaume Kuna mambo utavumilia familia isipasuke.... Hicho ndo alifanya mwamakula..
 
Tangu hizi habari zianze kusambaa hatujaona uthibitisho hata mmoja. Ni hearsays, speculations na personal opionions tu zinatawala. What a crap kutoka kwa a self-declared bishop.

Na bahati nzuri zinatoka kwa walewale vibaraka wa mabeberu. Hatushangai kama ambavyo hatushangai panya kumchukia paka.

It changes nothing especially kazi kubwa aliyolifanyia taifa hili Rais bora kabisa kuwahi kutokea.
Umemaliza !
Kwa kigogo Tunasemaga You nailed it !🙏🙏
 
Najua pamoja na Mambo yote yanayoongelewa lkn hatujafahamu Nini walifanya wahanga kiasi Cha kupelekea kifo Chao
we ni mtu wa ajabu kabisa. Walifanya nini? walipinga serikali yake, ambacho ni haki yao kupinga serikali. hawakuwa wahaini, wala waovu. AKAWAUA!
 
Back
Top Bottom