Askofu Mwamakula: Siyo Sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni, TBC Wajieleze na kuomba radhi

Askofu Mwamakula: Siyo Sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni, TBC Wajieleze na kuomba radhi

Akibuka hapo anashuka kwa spidi ya 120 na Lissu wa CHADEMA!
 
Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote

Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni


TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X

Ahsanteni sana
Hapo anaandika notisi za kikao sio kwamba amellala ni aina tu ya pozi lake ukizingatia ana uzito mkubwa!!?
 
Tyson hakuwa amesinzia isipokuwa alifumba macho kuwaona wabaya wake maana akifumba macho ndio anaona vizuri.
Amekuwa akifanya hivyo bungeni tangu 2011
Alivuta madenda yaliyokuwa yakimtoka baada ya kukurpuka usingizini.
 
Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote

Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni


TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X

Ahsanteni sana
Hata huyo aliyesimama kalala...wamemwonea Wassira wa watu 🤣
 
Kwani hii picha ni ya lini? Hapo inaonekana ni kikao cha ngazi ya kijiji. Na huyo hapo sio wasira ambaye ni makamu mwenyekiti. Ni wasira wa kipindi kileeeee cha Kikwete.

Hii picha ni ya kitambo kidogo. Wakati huo alikuwa akijiweza.
 
Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote

Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni


TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X

Ahsanteni sana
Uhuru wa habari, Kuna nini?
 
Hapo ndio wamejitahidi kabisa kutafuta angle ambayo kidogo ataonekana hajalala, anaonekana kama anaandika.

Wangetumia picha mjongeo, basi hakika ungeona udenda ukitoka huku ukisindikizwa na sauti maridhawa ya kukoroma.

Ni mzee wa miaka 80, mnatarajia nini zaidi ya yeye kulala, kutoa mashuzi na kusubiri malaika mtoa roho achukue amana yake.
Kwa hali hiyo huyu ana zaidi ya miaka 90
 
Back
Top Bottom