Uchaguzi 2020 Askofu Mwamakula: Uchaguzi uwe wa haki na uhuru

Uchaguzi 2020 Askofu Mwamakula: Uchaguzi uwe wa haki na uhuru

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Mtu ye yote anayehangaika na mikakati ya kuweka wapiga kura hewa, kuandaa watoto na wasio na sifa za kupiga kura ili wapige kura, kuiba kura, kuongeza vituo hewa na kuongeza kura za ziada kwenye vituo, huyo atakuwa amekosa kibari kwa watu na Mungu!

Wananchi, madereva, wanafunzi, waalimu, polisi, na wanajeshi msishiriki mkakati wo wote wa uovu ili msiwe sehemu ya laana katika uso wa nchi! Wapo ambao Mungu ameanza kuwaumbua hata sasa, wasipoacha mipango yao miovu wataangamia kabisa (Zaburi 1:1-6)!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
 
Mtu ye yote anayehangaika na mikakati ya kuweka wapiga kura hewa, kuandaa watoto na wasio na sifa za kupiga kura ili wapige kura, kuiba kura, kuongeza vituo hewa na kuongeza kura za ziada kwenye vituo, huyo atakuwa amekosa kibari kwa watu na Mungu!

Wananchi, madereva, wanafunzi, waalimu, polisi, na wanajeshi msishiriki mkakati wo wote wa uovu ili msiwe sehemu ya laana katika uso wa nchi! Wapo ambao Mungu ameanza kuwaumbua hata sasa, wasipoacha mipango yao miovu wataangamia kabisa (Zaburi 1:1-6)!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
WATANZANIA HATUKO TAYALI NDOA ZA JINSIA MOJA ZIFUNGWE MAKANISANI ILITUPEWE MISAADA KUTOKA UGAIBUNI.
 
Mtu ye yote anayehangaika na mikakati ya kuweka wapiga kura hewa, kuandaa watoto na wasio na sifa za kupiga kura ili wapige kura, kuiba kura, kuongeza vituo hewa na kuongeza kura za ziada kwenye vituo, huyo atakuwa amekosa kibari kwa watu na Mungu!

Wananchi, madereva, wanafunzi, waalimu, polisi, na wanajeshi msishiriki mkakati wo wote wa uovu ili msiwe sehemu ya laana katika uso wa nchi! Wapo ambao Mungu ameanza kuwaumbua hata sasa, wasipoacha mipango yao miovu wataangamia kabisa (Zaburi 1:1-6)!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Pale watawala wanapotambua kuwa wamekataliwa na hawakubaliki tena mbele za wapigakura, ndipo mipango na mikakati hiyo miovu hufanyika. Kila wakijifanyia tathimini wao wenyewe hujikuta hawana kitu chochote chenye kuweza kuwashawishii.
tapatalk_1564750429057.jpg
 
WATANZANIA HATUKO TAYALI NDOA ZA JINSIA MOJA ZIFUNGWE MAKANISANI ILITUPEWE MISAADA KUTOKA UGAIBUNI.
Mnasahau mapema hivi!!!
Paul alipotangaza vita dhidi ya mashoga, serikali ilisema: "...huo ni uamuzi wake binafsi, na si mpango wa serikali...serikali itaendelea kuheshimu haki za binadamu kama zilivyoainishwa kweny tamko la umoja wa mataifa la haki za binadamu..."

Sasa leo mnajitoa ufahamu na kuhamishia dhana hiyo kwa wengine kisa wameishi ughaibuni miaka miwili[emoji1787]
Mnafanana na boss wenu, anatangaza kumfuta mtu kazi, kisha akikutana nae anasema sikumfuta, aliniomba apumzike[emoji2957]

Ushoga ulipingwa awamu ya Kikwete hadharani na Membe, lakini niny na jiwe wenu mmeshindwa kutamka hadharani kuwa hamtaki ndoa za jinsia moja. Mmebaki kupayuka tu social media km samaki walojaa maji mdomon na kushindwa kuongea.

Aibu Yenu!!!!
 
"Uchaguzi uwe wa haki na Huru"?
Mbona tayari umekwishaharibiwa toka mwanzo; maanake uchaguzi ni 'process' sio tendo moja tu la kupiga kura.

Uchaguzi umekwishaharibiwa toka watia nia wa upinzani walipokuwa wanaenguliwa kwa mizengwe tu; wakati Magufuli anapiga kampeni sehemu yoyote anapopita, wanaojikusanya kumsikiliza Tundu Lissu awape salamu tu wanapigwa mabomu.
Vyombo vya habari vinazuiwa visionyeshe mikutano ya mpinzani mkubwa, na anazuiwa na watu wa serikali asifikie sehemu anayotakiwa kwenda kufanya kampeni kirahisi.

Yote haya na mengi mengine yanayofanyika ni kuwanyima waTanzania kufanya uchaguzi wa haki na huru ili kupata viongozi wanaowataka wao.
 
Uchaguzi utakuwa wa amani

Na Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
 
"Uchaguzi uwe wa haki na Huru"?
Mbona tayari umekwishaharibiwa toka mwanzo; maanake uchaguzi ni 'process' sio tendo moja tu la kupiga kura.

Uchaguzi umekwishaharibiwa toka watia nia wa upinzani walipokuwa wanaenguliwa kwa mizengwe tu; wakati Magufuli anapiga kampeni sehemu yoyote anapopita, wanaojikusanya kumsikiliza Tundu Lissu awape salamu tu wanapigwa mabomu.
Vyombo vya habari vinazuiwa visionyeshe mikutano ya mpinzani mkubwa, na anazuiwa na watu wa serikali asifikie sehemu anayotakiwa kwenda kufanya kampeni kirahisi.

Yote haya na mengi mengine yanayofanyika ni kuwanyima waTanzania kufanya uchaguzi wa haki na huru ili kupata viongozi wanaowataka wao.
Sasa unasemaje! Umeisha fika barabarani? Au lini mnaenda barabarani!
 
WATANZANIA HATUKO TAYALI NDOA ZA JINSIA MOJA ZIFUNGWE MAKANISANI ILITUPEWE MISAADA KUTOKA UGAIBUNI.
Kwani jambo gani linaloendelea sasa, na lipi litafanyika baadaye juu ya ushoga. Au unadhani akishinda Lissu, mabeberu watakuja kukuposa? Tulia tu wewe umemezeshwa sumu na maCiCiMizi. Huo ni ujinga tu. Mmekosa jambo la kumkosoa Lissu. Huyo wenu Mtanzania yoyote hata akiamshwa usingizini anaweza orodhesha maovu yake zaidi ya kumi. Tena ukihoji watu kumi, hoja zaidi ya tano zitafanana, ndiyo ujue kuwa hapakaziwi. Siyo hayo yenu yasiyo na kichwa wala mdomo. Subirini kura za kimbunga.
 
Kwani jambo gani linaloendelea sasa, na lipi litafanyika baadaye juu ya ushoga. Au unadhani akishinda Lissu, mabeberu watakuja kukuposa? Tulia tu wewe umemezeshwa sumu na maCiCiMizi. Huo ni ujinga tu. Mmekosa jambo la kumkosoa Lissu. Huyo wenu Mtanzania yoyote hata akiamshwa usingizini anaweza orodhesha maovu yake zaidi ya kumi. Tena ukihoji watu kumi, hoja zaidi ya tano zitafanana, ndiyo ujue kuwa hapakaziwi. Siyo hayo yenu yasiyo na kichwa wala mdomo. Subirini kura za kimbunga.
SASA MBONA UNAWEWESEKA SAANA?? YAAANI TUTAWAGALAGAZA NYINYI NA HAO MABEBERU WENU. WAMEWNYIMA MISAADA MPAKA MKUBALI KUFUNGISHA NDOA ZA JINSIA MOJA. HAMIENI HUKOHUKO KWAO. HUKU KWETU HAMNA CHENU.
 
Amiri Jeshi Mkuu wetu, JPM, aliisha ahidi uchaguzi huu utakuwa huru na wa haki, akiahidi, anatekeleza, uchaguzi Mkuu huu utakuwa huru na wa haki
P
 
Mtu ye yote anayehangaika na mikakati ya kuweka wapiga kura hewa, kuandaa watoto na wasio na sifa za kupiga kura ili wapige kura, kuiba kura, kuongeza vituo hewa na kuongeza kura za ziada kwenye vituo, huyo atakuwa amekosa kibari kwa watu na Mungu!

Wananchi, madereva, wanafunzi, waalimu, polisi, na wanajeshi msishiriki mkakati wo wote wa uovu ili msiwe sehemu ya laana katika uso wa nchi! Wapo ambao Mungu ameanza kuwaumbua hata sasa, wasipoacha mipango yao miovu wataangamia kabisa (Zaburi 1:1-6)!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Hakuna namna Ccm wanashinda iyo wiki ijayo. Nasema tena hakunaaaa
 
Back
Top Bottom