Uchaguzi 2020 Askofu Mwamakula: Uchaguzi uwe wa haki na uhuru

Viongozi wa dini wengine wote wameufyata!

Hakuna anayesikika kusisitiza kufanyika kwa haki na huru.

Wachache wamebaki kusema uwe wa amani amani.

Amani ni tunda la haki.

Haki ikiwepo automatically amani inakuwepo!

Tumuogope sana Mwenyezi Mungu kwa kutenda na kusimamamia Haki ktk mambo yote!
 
Juzi Kakobe yeye kasema watu wanyamamze [emoji3][emoji3][emoji3]

Kuna watu hawajamuelewa kwamba watu wanyamaze kwa vipi labda?!
 
Amiri Jeshi Mkuu wetu, JPM, aliisha ahidi uchaguzi huu utakuwa huru na wa haki, akiahidi, anatekeleza, uchaguzi Mkuu huu utakuwa huru na wa haki
P
Kiukweli mzee umebadilika Sana tofauti na Pascal yule aliyehudhuria press ya Mh na kuuliza swali. Kuna muda Hadi najiuliza niwewe kweli au Kuna mtu kakupora akaunti yako..??? Au umeahidiwa kuingia kwenye orodha ya nafasi za uteuzi..?? Maana pambio zako na makala zako Zina U-turn ya kiwango Cha lami.

Kwa mujibu wa post yako, ikiwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki, je haki inajificha mpaka tuhitaji "kuhakikishiwa" na Amiri jeshi mkuu. Je haki ni ahadi au ni Hali inayoonekana hata bila kuambiwa kila mtu anajua hii ni haki na hii sio haki.
 
Shehe Ponda na askofu Mwamakula, wamemwaga nyuki misikitini na makanisani sasa hivi ni mwendo wa matamko tu si makanisani si misikitini, wametoka woote kuja kumtetea bwana yule!. Wapenda haki wanasema
#Ni yeye2020#
 
HANA TOFAUTI NA NABII TITTO
 
Wananchi, madereva, wanafunzi, waalimu, polisi, na wanajeshi msishiriki mkakati wo wote wa uovu ili msiwe sehemu ya laana katika uso wa nchi! Wapo ambao Mungu ameanza kuwaumbua hata sasa, wasipoacha mipango yao miovu wataangamia kabisa (Zaburi 1:1-6[emoji1536][emoji1534][emoji1548]
 
Reactions: BAK
πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½
 
Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…