kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Usimshuhudie uongo jirani yakoMTU GAIDI MNASEMA MNAPAKA TAIFA KINESI WAKATI MBOWE NDIYO KAICHAFUA TANZANIA KWA KUFANYA UGAIDI KUWENI NA AKILI MSIFIKIRIE KWA KUTUMIA MASABURI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimshuhudie uongo jirani yakoMTU GAIDI MNASEMA MNAPAKA TAIFA KINESI WAKATI MBOWE NDIYO KAICHAFUA TANZANIA KWA KUFANYA UGAIDI KUWENI NA AKILI MSIFIKIRIE KWA KUTUMIA MASABURI
Ni ujumbe muafaka na adhimu.ASKOFU MWAMALANGA ATUMA UJUMBE MZITO KUHUSU FREEMAN MBOWE!
"Mpendwa Askofu Mwamakula, nakutumia ujumbe huo ninataka usomwe na watu wote!
Kukamatwa kwa Mheshimiwa Freeman Mbowe na kubambikiwa Kesi ya Ugaidi ni kitendo cha kulibandika kinyesi Taifa la Tanzania mbele ya mataifa. Kwetu sote Watanzania, tunamuona Mbowe kuwa ni mtu mwadilifu miongoni mwa wanasiasa wa vyama vyote nchini. Hivyo, Mheshimwa Mbowe kupewa kesi ya Ugaidi ni kitendo cha aibu kwa Watanzania. Aliyepanga bandiko hilo bado hajafaulu. Lengo lake ni kuitia moto jamii ya Watanzania!
Ninawasihi Watanzania kumtegemea Mungu Mwenyezi mia kwa mia; nanyi mtaona haki yake itakavyoshuka haraka na kutuliza mioyo yetu! Msiogope wala msinung'unike, fanyeni sala na dua, adhabu zao ni sasa. Duniani kote, Mbowe anaheshimika kama mwanasiasa salama na safi. Msiogope! Tazama, mipango ya shetani juu ya nchi yetu haitafaulu. Ombeni rehema za Mungu Mwenyezi kila mtu mahali alipo. Yesu Kristo ni yote katika yote. Amini na Amina! Ujumbe huu usomwe na kila mtu
Ujumbe huu umetolewa nami Askofu William Mwamalanga kwenye Kongamano la Amani kwa Afrika linalofanyika Lusaka, Zambia na kushirikisha viongozi wa dini wa nchi za Maziwa Makuu kwa kuiombea Afrika. Ndipo Dkt. Wood Edwards kutoka Uingereza akaomba kuiombea Tanzania ili inusurike na dhambi ya uonevu unaoendelea nchini Tanzania.
Mimi Askofu William Mwamalanga nimeubariki ujumbe huu kwani ni ujumbe hakika wa Mungu Mwenyezi kwa Watanzania kwani vitendo vya kubambikia watu kesi vimeota mizizi nchini pamoja na kumwaga damu zisizo na hatia. Ole wao wafanyao ubambikiaji huo na ole wao wawatumao watu kufanya hayo!
Askofu William Mwamalanga - Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe ya Kamati na Amani"
Hata hapa ulipoandika umepaka kinyesi!! pananuka kishenzi hata wee unanuka kinyesi sasa.MTU GAIDI MNASEMA MNAPAKA TAIFA KINESI WAKATI MBOWE NDIYO KAICHAFUA TANZANIA KWA KUFANYA UGAIDI KUWENI NA AKILI MSIFIKIRIE KWA KUTUMIA MASABURI
GAIDI MBOWE ANANUKA KINYESI SASA HIVI HUKO MAGEREZA CHA KUJINYEA KWENYE NDOO NA CHA KUPAKULIWA NA MANYAPALA AISEEHata hapa ulipoandika umepaka kinyesi!! pananuka kishenzi hata wee unanuka kinyesi sasa.
Kule ni gerezani sasa ondoa mavi yako huku uraiani wewe popoma usiye na faidaGAIDI MBOWE ANANUKA KINYESI SASA HIVI HUKO MAGEREZA CHA KUJINYEA KWENYE NDOO NA CHA KUPAKULIWA NA MANYAPALA AISEE
asiye na faida ni wewe huna kazi ya kufanya unamlilia bwana wako mbowe ambaye anajinyea lupangoKule ni gerezani sasa ondoa mavi yako huku uraiani wewe popoma usiye na faida
gaidi linaliwa lupango namakengeza yake sasa hivi anawagonolea wanaume aibuuuuuuuuuuuN
Mama yenu yule mwenye maziwa kama papai ananyea wapi na ule mzoga wa chato umeoza au bado
Harufu mbaya kama mzoga! aisee wanaolimega hili popoma wanashida!!asiye na faida ni wewe huna kazi ya kufanya unamlilia bwana wako mbowe ambaye anajinyea lupango
Jimama laendelea kuchuma mijilaana ya MwendazakeASKOFU MWAMALANGA ATUMA UJUMBE MZITO KUHUSU FREEMAN MBOWE!
"Mpendwa Askofu Mwamakula, nakutumia ujumbe huo ninataka usomwe na watu wote!
Kukamatwa kwa Mheshimiwa Freeman Mbowe na kubambikiwa Kesi ya Ugaidi ni kitendo cha kulibandika kinyesi Taifa la Tanzania mbele ya mataifa. Kwetu sote Watanzania, tunamuona Mbowe kuwa ni mtu mwadilifu miongoni mwa wanasiasa wa vyama vyote nchini. Hivyo, Mheshimwa Mbowe kupewa kesi ya Ugaidi ni kitendo cha aibu kwa Watanzania. Aliyepanga bandiko hilo bado hajafaulu. Lengo lake ni kuitia moto jamii ya Watanzania!
Ninawasihi Watanzania kumtegemea Mungu Mwenyezi mia kwa mia; nanyi mtaona haki yake itakavyoshuka haraka na kutuliza mioyo yetu! Msiogope wala msinung'unike, fanyeni sala na dua, adhabu zao ni sasa. Duniani kote, Mbowe anaheshimika kama mwanasiasa salama na safi. Msiogope! Tazama, mipango ya shetani juu ya nchi yetu haitafaulu. Ombeni rehema za Mungu Mwenyezi kila mtu mahali alipo. Yesu Kristo ni yote katika yote. Amini na Amina! Ujumbe huu usomwe na kila mtu
Ujumbe huu umetolewa nami Askofu William Mwamalanga kwenye Kongamano la Amani kwa Afrika linalofanyika Lusaka, Zambia na kushirikisha viongozi wa dini wa nchi za Maziwa Makuu kwa kuiombea Afrika. Ndipo Dkt. Wood Edwards kutoka Uingereza akaomba kuiombea Tanzania ili inusurike na dhambi ya uonevu unaoendelea nchini Tanzania.
Mimi Askofu William Mwamalanga nimeubariki ujumbe huu kwani ni ujumbe hakika wa Mungu Mwenyezi kwa Watanzania kwani vitendo vya kubambikia watu kesi vimeota mizizi nchini pamoja na kumwaga damu zisizo na hatia. Ole wao wafanyao ubambikiaji huo na ole wao wawatumao watu kufanya hayo!
Askofu William Mwamalanga - Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe ya Kamati na Amani"
ID maalum kwa kazi maalum, lakini hatima ya yote the truth will be known.ID za kulipwa ndio hizi sasa
Taja ugaidi wa mbowe na je ule wa polisi kumpiga lisu risasi tuuiteje?MTU GAIDI MNASEMA MNAPAKA TAIFA KINESI WAKATI MBOWE NDIYO KAICHAFUA TANZANIA KWA KUFANYA UGAIDI KUWENI NA AKILI MSIFIKIRIE KWA KUTUMIA MASABURI
Ila ipo siku mtachinjwa mchana kweupe uonevu mnaoufanya utawafikisha watu kwenye ukingo wa uvumilivu.Kama inavyo semekana Mbowe alikuwa anaajiri/recruits askari na wanajeshi waasi kwa lengo la kuhujumu serikali na kuuwa viongozi wa serikali, basi kwakweli Mbowe alifika pabaya sana, siajabu ange ajiri hata wahamiaji haramu kwa lengo baya zaidi.
Matendo haya hayana tofauti na yale wanayo yafanya Bokoharam.
hata hivyo Jeshi la Polisi wakishirikiana na vyombo vyote vifanye upelelezi wa kina na kwa weledi wa viwango vya juu.