Askofu Mwamalanga: Mbowe kubambikiwa kesi ya ugaidi ni kitendo cha kuibandika kinyesi Tanzania mbele ya Mataifa

MTU GAIDI MNASEMA MNAPAKA TAIFA KINESI WAKATI MBOWE NDIYO KAICHAFUA TANZANIA KWA KUFANYA UGAIDI KUWENI NA AKILI MSIFIKIRIE KWA KUTUMIA MASABURI
Usimshuhudie uongo jirani yako
 
Ni ujumbe muafaka na adhimu.
 
Reactions: BAK
MTU GAIDI MNASEMA MNAPAKA TAIFA KINESI WAKATI MBOWE NDIYO KAICHAFUA TANZANIA KWA KUFANYA UGAIDI KUWENI NA AKILI MSIFIKIRIE KWA KUTUMIA MASABURI
Hata hapa ulipoandika umepaka kinyesi!! pananuka kishenzi hata wee unanuka kinyesi sasa.
 
Hata hapa ulipoandika umepaka kinyesi!! pananuka kishenzi hata wee unanuka kinyesi sasa.
GAIDI MBOWE ANANUKA KINYESI SASA HIVI HUKO MAGEREZA CHA KUJINYEA KWENYE NDOO NA CHA KUPAKULIWA NA MANYAPALA AISEE
 
GAIDI MBOWE ANANUKA KINYESI SASA HIVI HUKO MAGEREZA CHA KUJINYEA KWENYE NDOO NA CHA KUPAKULIWA NA MANYAPALA AISEE
Kule ni gerezani sasa ondoa mavi yako huku uraiani wewe popoma usiye na faida
 
Jimama laendelea kuchuma mijilaana ya Mwendazake
 
Reactions: BAK
Kama inavyo semekana Mbowe alikuwa anaajiri/recruits askari na wanajeshi waasi kwa lengo la kuhujumu serikali na kuuwa viongozi wa serikali, basi kwakweli Mbowe alifika pabaya sana, siajabu ange ajiri hata wahamiaji haramu kwa lengo baya zaidi.
Matendo haya hayana tofauti na yale wanayo yafanya Bokoharam.
hata hivyo Jeshi la Polisi wakishirikiana na vyombo vyote vifanye upelelezi wa kina na kwa weledi wa viwango vya juu.
 
MTU GAIDI MNASEMA MNAPAKA TAIFA KINESI WAKATI MBOWE NDIYO KAICHAFUA TANZANIA KWA KUFANYA UGAIDI KUWENI NA AKILI MSIFIKIRIE KWA KUTUMIA MASABURI
Taja ugaidi wa mbowe na je ule wa polisi kumpiga lisu risasi tuuiteje?
 
Ila ipo siku mtachinjwa mchana kweupe uonevu mnaoufanya utawafikisha watu kwenye ukingo wa uvumilivu.
 
Hawa maaskofu na Chadema ni balaa, mbona wale masheikh wa uamsho hatukuona sana kutetewa kuwa wamebambikiwa ugaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…