Askofu Mwingira kauliza swali. Karibuni kwa majibu

This is nonsensical.... Haya hayana tofauti na kauli ya Kwamba wazuri hawafi.....

Huu ni muendelezo wa kupigana na Marehemu wakati walio Hai wanaendelea kukutafuna...

Alisema 2 Pac...., They say it's the white man I should fear, But it's my own kind doin' all the killin' here.
 
Swali la kijinga kwa kuwa limekuchoma....kuna kundi halitaki kabisa kusikia marehemu akitajwa kwa madhaifu yake ila ukweli utabaki palepale kwamba magufuri alikuwa ni mtu wa hovyo.....kuna kundi la graduate lipo mtaani wamenyimwa ajira za serikali kwa sababu walikuwa wakimsema magufuri kwenye mitandao ya kijamii, yaani yule mzee alipenda kusifiwa hata kama ameharibu....MAMA SAMIA NDIE MWALIMU WA SIASA TANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…