Ujinga ni kupayuka na kuropokaUjinga ni nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga ni kupayuka na kuropokaUjinga ni nini ?
Aliyosema hapo ukimwendea atoe ushahidi, hatathubutu kutoa kwa sababu anajua ugomvi wake na huyo anayemdhihaki kwamba, naye ni tapeli wa mashamba huko Sumbawanga!Swali la kijinga kwa kuwa limekuchoma....kuna kundi halitaki kabisa kusikia marehemu akitajwa kwa madhaifu yake ila ukweli utabaki palepale kwamba magufuri alikuwa ni mtu wa hovyo.....kuna kundi la graduate lipo mtaani wamenyimwa ajira za serikali kwa sababu walikuwa wakimsema magufuri kwenye mitandao ya kijamii, yaani yule mzee alipenda kusifiwa hata kama ameharibu....MAMA SAMIA NDIE MWALIMU WA SIASA TANZANIA
Hawa ndiyo viongozi wetu wa Dini.........
Dikteta huemwa mpk mwisho wa dunia.ni GODs plan 🙏
Guys tumuache apumzike kwa amani.
Huyo alie hai auchape tu mwendo wake in peace
Huoni bado anaishi?Kwahiyo Lisu ameshinda nini wandugu? 🤔
Kweli kabisa,mshind ni mshindi tu na ndio maana wayahudi walimshinda YEHOVA kwa kumuulia mwanaye mpendwa YESU,si eti mtoa mada?View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Kwahiyo unapingana na kauli ya mzee Makamba? ....."Watu wema hawafi"ila kifo na uhai siyo kipimo cha ushindi au kushindwa.
Mchungaji mwigura hiyo kauli kaitoa kisiasa, kuwapa mileage chama chake,, kwani Lisu kaanza kuishi leo?,Huoni bado anaishi?
Hawezi kumshinda jiwe. Jiwe aliamini hata korona anaweza kuirogaLissu anahirizi yule
Jibu swali la askofuYani chadema bure kabisa
Heee! Yamekuwa hayo??Lissu anahirizi yule
Kwani kuna marehemu aliiba kura? Maana askofu hajamtaja mtu!Huu ni muendelezo wa kupigana na Marehemu wakati walio Hai wanaendelea kukutafuna...
View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Hii ni TakatakaView attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Kwann? Hajamtaja mtu. Yeye kauliza swali tu mkuuHii ni Takataka
Hakuna Mtumishi wa Mungu apa
Sasa hilo ni Fumbo au Maneno ya KangaKwann? Hajamtaja mtu. Yeye kauliza swali tu mkuu