Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hamna kupunguza neno.Mnhh.. punguzeni ukali wa maneno...
No mara waahh..no mara waa..
Yule Ibilisi aliyevitia mfukoni vyombo vyote vya habari kwa kuwamwagia pesa za wizi ni heri kafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kupunguza neno.Mnhh.. punguzeni ukali wa maneno...
No mara waahh..no mara waa..
Hujajibu swali, shuleni ulienda kujifunza ujingaSwali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
Kwani we nani?Hujajibu swali, shuleni ulienda kujifunza in jinga
Benki inauma sana na itampeleka motoni ,kufunguwa kumeleta chukiView attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Hakuna swali la kijinga. Swali ni swali jibu kama huna jibu nyamaza mkuuSwali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
Mkuu kama unajib jibu hilo swali mbona unatoka nje ya mada?Huyo mwingira anakuaga na utindio , mental health[emoji53]
Machawa hawana kitu kichwani badala ya kujibu swali anatoa kashfa. Kama ni mjinga ndiyo maana kauliza.Ujinga ni nini ?
Mkuu swali liko wazi acha porojo kama unajibu toa kama huna kaa kimyaKawaida tu...huyu ana makasiriko yake na JPM...
Huyu ndio askofu wako?mbona hakuna swali hapo.View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Tanzania Uhuru umezidiView attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Mhurumieni sana huyu mzinzi aliye pia kasisi ktk taasisi fulaniSwali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
[emoji848][emoji28][emoji28][emoji28][emoji848]Hata kikwete Yuko hai na kura aliiba
So whats the pint of all this??
View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Kwan wezi wa kura wote ni marehemu?
Halafu mtu mcha Mungu tena Mkristo unatangaza ushindi kuwa ni kuendelea kuishi duniani hakika haitarajiwi kutoka kwa Mchungaji. Mtume Paul alisema "Kuishi ni Kristo na kufa ni faida". Mpuuzi kama Mwingira japo aitwa Mchungaji au labda Askofu anaona maneno hayo ya mtume Paul ni nadharia.Swali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
Sasa kama wenye ideas mmekaa kimya na ideas zenu unataka watu wajadili nn?Nobody is discussing ideas anymore ni mwendo wa events and people....
Kifo.Kwahiyo Lisu ameshinda nini wandugu? 🤔