matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Mchungaji aache majungu mimbarini. Amuhubiri Yesu siasa atuachie makaisali huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askofu hajamtaja mtu hapo kwenye maelezo yake. Tunaomba majibu ya swali la askofu tafadhaliSasa nani mshindi sisi CCM au lissu au mwingira!!!CCM ni taasisi sio magufuli
Majibu yashatolewa na wenye akili; watu wema hawafi.Anahitaji majibu
ni GODs plan 🙏
Guys tumuache apumzike kwa amani.
Huyo alie hai auchape tu mwendo wake in peace
Acha utoto sex!!!!!You know itAskofu hajamtaja mtu hapo kwenye maelezo yake. Tunaomba majibu ya swali la askofu tafadhali
Jibu toka kwa taahira asiyejitambua,badala ya kujibu swali unaleta Utopolo wako.Swali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
Alirudi ila baada ya uchaguzi kuisha akaondoka tena kwa kukimbia hivyo kujinusuru, na hata sasa alikuwa anataka Rais amhakikishie usalama wake ndio arudi. Sasa lini Lissu aliingia kwenye ushindani hadi aweze kushinda hilo pambano?Alirudi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2020
Kwani mashindano yalikuwa ya wizi wa kura au kufa na kupona? Maana alimpiga risasi kampiga risasi na Lissu hakujibu mashambulizi, alipoibiwa kura akataka kujibu mashambulizi(maandamano) ila majeshi yake yakamfelisha hayakutokea uwanja wa vita, basi Lissu akakimbia uwanja wa mapambano.JIBU:
-Aliyepigwa risasi yuko hai
-Aliyeiba kura mifupa yake iko futi sita chini ya ardhi.
Eti anajiita NABII!Aliyosema hapo ukimwendea atoe ushahidi, hatathubutu kutoa kwa sababu anajua ugomvi wake na huyo anayemdhihaki kwamba, naye ni tapeli wa mashamba huko Sumbawanga!
Kwani aliyepo awamu ya sita katokea kwenye wizi huo huo tunasema wa kura, ni mshindi au mshindwa?JIBU:
-Aliyepigwa risasi yuko hai
-Aliyeiba kura mifupa yake iko futi sita chini ya ardhi.
Ila wewe jamaa una shidaAskofu hajamtaja mtu hapo kwenye maelezo yake. Tunaomba majibu ya swali la askofu tafadhali
una akili finyu za watu waliozea kuishi kwa hofu na kutojiamini enzi za jiwe.Uhuru wa kuandika vitu kwenye social media ni mbaya Sana
Why ajaandika story ilivyoanza? Au story ilipoishia?
Amekata hayo maneno Tu basi
Wakati makonda anaenda kulia kanisani alikuwa anatumia viongozi wa mahakama? Na wakati JPM anachangisha hela za kujenga msikiti kanisani alikuwa anatumia viongozi wa TFF?Mmeanza kutumia viongozi wa dini...
Yeye ataishi milele?View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Sidhani kama mwingira anaweza uliza huo upupu? WameADOBESwali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
Kama akili zako zilivyo kama za panyauna akili finyu za watu waliozea kuishi kwa hofu na kutojiamini enzi za jiwe.
Nafikiri hao viongozi wa dini ndio wanajipendekeza kama wafanyavyo bakwata kwa ccmMmeanza kutumia viongozi wa dini...
Yeye kauliza swali. Ni vema tumjibu kwanza ndipo naye aulizweYeye ataishi milele?