Askofu Mwingira kauliza swali. Karibuni kwa majibu

Askofu Mwingira kauliza swali. Karibuni kwa majibu

Mchungaji aache majungu mimbarini. Amuhubiri Yesu siasa atuachie makaisali huku.
 
Anahitaji majibu
Majibu yashatolewa na wenye akili; watu wema hawafi.

Yesu alikufa na miaka 33, Muhammad kafa na miaka 63. Relatively, ni umri mdogo kuondoka kwa watu wema.

Mitume wetu hao kuondoka mapema hawakuwa watu wema labda?!
 
Me: It is as everyone dies alone.
Her: Does that scare you?
Me: I don't wanna be alone.
Her: ☺️
 
ni GODs plan 🙏

Guys tumuache apumzike kwa amani.

Huyo alie hai auchape tu mwendo wake in peace

Apumzike Kwa amani mtenda maovu?
Hadi Leo hii Hitler anasemwa vibaya,
Idi Amini anasemwa vibaya sasa iweje nongwa Kwa huyo gaidi wa chato
 
Alirudi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2020
Alirudi ila baada ya uchaguzi kuisha akaondoka tena kwa kukimbia hivyo kujinusuru, na hata sasa alikuwa anataka Rais amhakikishie usalama wake ndio arudi. Sasa lini Lissu aliingia kwenye ushindani hadi aweze kushinda hilo pambano?
 
JIBU:
-Aliyepigwa risasi yuko hai
-Aliyeiba kura mifupa yake iko futi sita chini ya ardhi.
Kwani mashindano yalikuwa ya wizi wa kura au kufa na kupona? Maana alimpiga risasi kampiga risasi na Lissu hakujibu mashambulizi, alipoibiwa kura akataka kujibu mashambulizi(maandamano) ila majeshi yake yakamfelisha hayakutokea uwanja wa vita, basi Lissu akakimbia uwanja wa mapambano.
 
Aliyosema hapo ukimwendea atoe ushahidi, hatathubutu kutoa kwa sababu anajua ugomvi wake na huyo anayemdhihaki kwamba, naye ni tapeli wa mashamba huko Sumbawanga!
Eti anajiita NABII!

Kesi ya UGONI iliisha?
 
JIBU:
-Aliyepigwa risasi yuko hai
-Aliyeiba kura mifupa yake iko futi sita chini ya ardhi.
Kwani aliyepo awamu ya sita katokea kwenye wizi huo huo tunasema wa kura, ni mshindi au mshindwa?

Au ule msemo nyama ya nguruwe haram ila mchuzi halal?!
 
Uhuru wa kuandika vitu kwenye social media ni mbaya Sana

Why ajaandika story ilivyoanza? Au story ilipoishia?

Amekata hayo maneno Tu basi
una akili finyu za watu waliozea kuishi kwa hofu na kutojiamini enzi za jiwe.
 
Back
Top Bottom