Askofu Mwingira kauliza swali. Karibuni kwa majibu

Askofu Mwingira kauliza swali. Karibuni kwa majibu

Halafu mtu mcha Mungu tena Mkristo unatangaza ushindi kuwa ni kuendelea kuishi duniani hakika haitarajiwi kutoka kwa Mchungaji. Mtume Paul alisema "Kuishi ni Kristo na kufa ni faida". Mpuuzi kama Mwingira japo aitwa Mchungaji au labda Askofu anaona maneno hayo ya mtume Paul ni nadharia.
Kinachonifurahisha ni kuona Magufuli amekufa yeye kabla ya sisi aliotaka tufe kwa kutupiga risasi, kututeka, kutunyang'anya fedha na kutufukuza kazini. Magufuli aliiba uchaguzi wote wa 2020 na akapanga wabunge wake wa kupitisha mabadiliko ya Katiba ili awe Rais wa maisha pale mwaka 2025. Mungu kamuonyesha UKUU wake
 
Hakuna swali la kijinga. Swali ni swali jibu kama huna jibu nyamaza mkuu
Hakuna mshindi na mshindwa mbele ya kifo! Wote tutaonja mauti, na wote kabisa dunia nzima hakuna asiye na
Acha ujinga, Aliyeshinda kifo ni Yesu pekee!

Lisu hajashinda kifo, kwani lazima atakionja tuu kwa kuwa tuliumbwa tufe, ila amenusurika kifo!

Kila nafsi itaonja mauti!
 
Huu ushindi wa bila kushindana ni ushindi wa ki ccm, Lissu kafanyiwa shambulizi akapelekwa nje ya nchi kutibiwa na akajichimbia huko akawa anaogopa kurudi. Sasa lini kashindana hadi akaweza kushinda?
 
This is nonsensical.... Haya hayana tofauti na kauli ya Kwamba wazuri hawafi.....

Huu ni muendelezo wa kupigana na Marehemu wakati walio Hai wanaendelea kukutafuna...

Alisema 2 Pac...., They say it's the white man I should fear, But it's my own kind doin' all the killin' here.
Kwa Kweli Hata Mimi nilikua simuungi mikono JPM kwenye baadhi ya mambo lakini Baada ya kifo chake nimekua nikiona mazuri yake Mengi kuliko mabaya

R.I.P JPM
 
Hebu tuwe wakweli hasa kwasisi waamini LISSU alipangiwa kifo cha risasi na wanadamu ambao walisahau mipango ya Mungu si ya mwanadamu!

Huwa tunaepushwa mengi kwa namna ya ajabu na ya kipekee mno na mwisho wa siku tunaishia kumshukuru Mungu maana huko tunakovuka si kwa utashi wala si kwa akili zetu
Sahihi kabisa boss
 
View attachment 2496495

N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Maana yake ni hii:

Tundu Lissu ni mshindi wa yote yaani alishinda;

✓ Uchaguzi mkuu wa 2020

✓ Alishinda kifo na mauti ya risasi 37 toka Kwa hayawani wale a.k.a machawa.

Lakini mtoa amri na mlipaji wa wauaji wale na mwizi wa kura na uchaguzi ule wa 2020 ajabu eti ndiye Kafa, ameoza ardhini!!

NI KWELI KABISA MSHINDI NI MSHINDI TU lakini MWIZI WA KURA AMEKUFA
 
Tukiwa watu wenye akili nzuri na huru, tunaweza kukumbuka kwamba Mwingira alitoa tuhuma za yeye kunusurika kuawa au kuwepo kwa mipango ya kumuua wakati uliopita (polisi walihusishwa kumhoji pia).
Tundu Lisu (mgombea urais 2020) yupo kwenye kundi moja.
Sasa ni mjinga tu atakayeshangaa au kupambana na na maoni yake au hoja kama hii.
Kila mtu ana haki ya kujitetea au kutoa hisia au maoni yake.
 
Back
Top Bottom