Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
WoyooooooView attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WoyooooooView attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Hata kusoma unajua ?Kwani kuna marehemu aliiba kura? Maana askofu hajamtaja mtu!
Mkuu ukilingasha akili ya chadema na jogoo hutaamini utakachokipata.Yani chadema bure kabisa
Huyu anayetembea na wake za watu.View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Wewe kisamvu cha kopo hili swali liko juu ya uwezo wako wa kufikiriSwali la kijinga kutoka mtu asiyetarajiwa aseme hivyo!
Hekima mkuu! Heko sanaUhai siyo ushindi na kifo siyo hasara, halaumiwi aliekufa wala hapongezwi alie hai kwakua hakuna alieamua kwa ujanja wake.
Na uovu wa kumwaga damu pia ni dhambi mbele ya Mwenyezi Mungu, ila kifo na uhai siyo kipimo cha ushindi au kushindwa.
Wewe huna akili timamu huwezi kuelewa swali na hivyo huna jibuHuyo mwingira anakuaga na utindio , mental health[emoji53]
Tupe video yake akisema hayo...View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Hakika, anapopagusa siko anaweza poteza kondoo wakeKama kiongozi mwenyewe ni WA Dini na hana ufahamu wa anachokiuliza,kumjibu mtu ambaye angalau unadhani anakauelewa kidogo ni kupoteza muda
Mnhh.. punguzeni ukali wa maneno...Jiwe funza washammaliza.
Tulimwonya sana yule mjinga lakini wapumbavu walitutukana mitandaoni kila siku
Ninyi mnatumia waganga wa kienyeji.Mmeanza kutumia viongozi wa dini...
Aliyetaka kuua kafa yeye, God is greatView attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Uhai na kifo ni majirani mno! Hakuna mshindi wala mshindwa katika kifo! Walio hai hudhani uhai ni halali yao na hudhania ni jambo la kawaida kuwasimanga waliokufa! Huu ni ujinga uliokubuhu!Wewe kisamvu cha kopo hili swali liko juu ya uwezo wako wa kufikiri