gothmog
Senior Member
- Dec 2, 2022
- 131
- 122
Kuna wachungaji wengi na mapadri hapao nyuma wamekufa sasa hapo walimkosea nani au walimuibia nani?View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Nadhani kuna wachungaji akili zao ni za kuchunga fisi na wala sio kuchunga hata ng'ombe