Askofu Mwingira kauliza swali. Karibuni kwa majibu

Askofu Mwingira kauliza swali. Karibuni kwa majibu

angefafanua vizuri swali lake kama mshindi anayemmaanisha yeye anaweza kuwa hata wale wanaosapoti ushoga. analiongeleaje hilo yeye kama askofu.
 
Ndiyo uwezo wako kiakili ulipoishia au umeamua kujitoa ufahamu?
Kama haukuelewa swali ni busara kuomba ufafanuzi.
Nje ya mada: Wewe ni Sukuma gang?
Unanishambulia mie badala ya kuonesha kipi si sahihi kwenye maelezo yangu.
 
🤣🤣🤣kwani kuna mada ya ugoni hapa?

Gwajima alisema kwani yeye kumkuta na Mrembo kuna kosa gani?
Hao wote wale wale mkuu😂😂

Hamna chochote cha kujivunia kutoka kwao wazinifu tu
 
Kwahiyo Mchungaji anataka kutuambia Kipimo cha Wema ni Kifo, So wote waliotangulia mbele ya haki sio tena kwa mapenzi ya mungu bali sio washindi na ni Waovu?
Aisee hawa wachungaji ni Wajinga sana
 
Japo mi si mpinzani nikimwangalia Lisu kwa undani kuna mpango wa MUNGU jamaa amebeba kusudi la Mungu juu ya hii nchi
 
Mdhulumati yanajiachia sana ...yaani unadhulumu ardhi maelfu ya watu kwa kutoa rishwa kwa viongozi wasio waaminifu..kiongozi wa kanisa wa aina hii kuishi kwake ni kudra za Mwenyezi Mungu apate fursa ya kutubu dhambi waitumie hiyo fursa
 
Kufa sote tutakufa uwe mwema uwe mbaya!! Muhimu tutende mema maana kabla ya hukumu ya direct tutalipwa indirectly bila kujielewa
 
Kwani mashindano yalikuwa ya wizi wa kura au kufa na kupona? Maana alimpiga risasi kampiga risasi na Lissu hakujibu mashambulizi, alipoibiwa kura akataka kujibu mashambulizi(maandamano) ila majeshi yake yakamfelisha hayakutokea uwanja wa vita, basi Lissu akakimbia uwanja wa mapambano.
Mmoja alijua kuwa ushindani ni ktk siasa kama katiba ilivyokuwa inaruhusu, mwingine akabadili akaweka mashindano ya kutoana roho, mmoja akamiminiwa risasi kama mvua na Mungu akampa ushindi huyo aliyemiminiwa risasi, na leo hii yuoko hai. Aliyeamuru mauaji leo hii anajina la Marehemu na mbaya zaidi watu hawataki hata kumwita hayati.
 
Unaweza ukawa umekufa Huku unatembea,Magufuli hajawahi kufa kwenye mioyo ya watanzania.
 
Huyu mchungaji ni mwizi, tapeli na mpumbavu. Sasa kwani huyo lissu ataishi milele? Si nae muda utafika atakufa. Kufikiria eti umeshinda kisa fulani kafa ni upumbavu wa hali ya juu. We are all destined to die.
 
Back
Top Bottom