Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

Kaburi
Askofu Josephat Mwingira asema Raisi wa awamu ya tano atatoka nje ya madhehebu ya katoliki na uislam.

Pia askofu huyo mwenye makanisa kila pande ya nchi na wafuasi lukuki aliendelea kusema kwamba uongozi wa Raisi huyo utakuwa na nguvu sana na atabadilisha mambo mengi kwa kipindi kifupi sana (Maono kutoka mbinguni)


Akiri za kuambiwa changanya na za kwako ..Lengo ni mabadiliko.


jisikilizie mwenyewe Audio hii nime attach hapo wanajamvi
 
Why awataje waislam wakati wagombea wawili powerful hakuna muislam?
halafu ana wa group waisla na wakatoliki kundi moja...why?

Na why washabiki wa Lowassa wanaamini Lowassa ni mlokole wakati yeye anasema ni mlutheri?
Mkuu
Tupate Wadhamini Wetu Kidogo
Umekaza Sana.......Haa.....
 
Alishinda mkatoliki huyu nabii ni muhuni tu ila ni kweli alifanya mabadiliko makubwa sana
 
Back
Top Bottom