Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

Na unabii usipotimia itakuaje? Anatuahidi nini? Au tumwiteje?

Kuna waumini wa Efatha wa hapa wilayani kwetu walienda kwenye kusanyiko Precious Centre - Kibaha mwaka 2011 walitoa ushuhuda kanisani kwamba Mwingira amewatabiria kwamba watajenga na kumiliki magorofa. Mpaka sasa wanaishi kwenye nyumba za makuti!
 
Kuna waumini wa Efatha wa hapa wilayani kwetu walienda kwenye kusanyiko Precious Centre - Kibaha mwaka 2011 walitoa ushuhuda kanisani kwamba Mwingira amewatabiria kwamba watajenga na kumiliki magorofa. Mpaka sasa wanaishi kwenye nyumba za makuti!
Wanaishi kwenye nyumba hizo za makuti kwasababu ya unyonyaji wa serikali ya CCM kutokutoa fulsa za kimaendeleo kwa watanzania hao. Vinginevyo wangejenga tu.
 
Mod. afute huu uzi."amepost upotoshaji mkubwa
na kumsingizia askofu mwingira.
Kuthibitisha hili hiyo audio ina empty content.
Sheria ya mtandao ichukue nafasi yake!!!!"
Hii audiio ni ya kweli. Hivi siku wakija waislamu nao kudai utawala wa kuruani Tz patakalika? Mi nadhani ajenda kama hizi zilitakiwa zikae vichwani mwao tu kani kazi aliyoifanya Yeshua ni kubwa sana hatuna haja ya kusikia mchungaji kasema nini, kwani enzi hizo zilishapita.
 
Mod. afute huu uzi."amepost upotoshaji mkubwa
na kumsingizia askofu mwingira.
Kuthibitisha hili hiyo audio ina empty content.
Sheria ya mtandao ichukue nafasi yake!!!!"

wewe ndio mpotoshaji,audio empty content kwenye tecno yako hiyo ,tushaisikiliza yote na tunaenda kufuta ccm.
 
Why awataje waislam wakati wagombea wawili powerful hakuna muislam?
halafu ana wa group waisla na wakatoliki kundi moja...why?

Na why washabiki wa Lowassa wanaamini Lowassa ni mlokole wakati yeye anasema ni mlutheri?

walokole gani hao wanaamini lowassa mlokole?
 
Jamani kwa wale wakazi wa arusha nauza harddisk ya laptop aina ya toshiba powerd by satelite kwa ane hitaj antafute via mudimonttana@gmail·com asanteni
 
Haya maneno kazungumza akiwa kanisani kwake na waumini wake na sio kwenye majukwaa. Sioni tatizo ... Alikuwa anawafundisha ujumbe kuhusu "Unabii na Majira yake" kwa kutoa mfano ambao ni popular kwa sasa Tz. Msiwe na ubongo kama wa mende. Nikiukumbuka vzr ubongo wa mende enzi hizo nikifanya dissection & matendo yake yanawiana...!
 
Why awataje waislam wakati wagombea wawili powerful hakuna muislam?
halafu ana wa group waisla na wakatoliki kundi moja...why?

Na why washabiki wa Lowassa wanaamini Lowassa ni mlokole wakati yeye anasema ni mlutheri?

Kwa waluther vilevile kuna walokole tena wengi sana hata catholic wapo kibao! ulokole sio dini wala dhehebu ni maisha mapya ndani ya Yesu Kristo! so EL anaweza akawa Lutheran na bado akawa mlokole kama ambavyo mwl Mwakasege, Mgisa na wengine kibaooo wapo lutheran na ni walokole tena credible. Ndiyo maana zunguka Tz nzima hutaona kanisa limeandikwa kanisa la walokole......dsm, mbeya n.k HAKUNA ila kuna madhebu ya kikristo ambayo statement of faith zatofautiana.
 
Kila askofu fisadi sii rafiki na CCM huyu nae alitapeli mitambo ya watu kibabe hana jipya
 
Unapotabiriwa sio ulale kama mzoga usubiri muujiza.chukua hatua.Fanya kazi kwa bidii zaidi na Mungu atakubariki.Kumbuka baraka hupitia kazi ya mikono yako,au kwa lugha nyingine bidii yako.
 
Mod. Futa huu uzi."amepost upotoshaji mkubwa na kumsingizia askofu mwingira.
Kuthibitisha hili hiyo audio ina empty content. Sheria ya mtandao ichukue nafasi yake!!!!"

Yawezekana wewe ndiyo una empty content!! hovyo kabisa haya mambo yapo kwenye jamii...

Wewe kama hujasikiliza hiyo audio wenzio wamesikiliza na ni maono ya Mtumishi wa Mungu naye anahaki ya kuwaambia wafuasi wake au kuwapa Muongozo kile Bwana alichomfunulia.
 
Dini na siasa lengo ni moja kumfikisha mwanadamu kuliko na maisha mazuri.
 
Back
Top Bottom