Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Umenifurahisha kweli mzazi. Eti mwaka UHU. Halafu tena eti "Na HIKAWA hivyo..." Wakuache kwa raha zako na Eddo wako bana. Na HIKAWE hivyo hivyo tu!haya ni mambo ya kawaidatu. Najua jambo hili linawaumiza sana watu wa ccm. Hawapendi kusikia mambo haya.
Tb joshua. Alitabiri uchaguzi wa kenya. Na hikawa hivyo, akatabiri na uchaguzi wa nchi yake nigeria na hikawa hivyo hivyo.
Na hata hapa kwetu alishatabiri juu ya lowassa kuchukua nchi mwaka uhu. Sasa wanaobisha tukutane baada ya uchaguzi.