BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
ni mola pekee ndiyo mwenye uwezo wa kujua nini kitatokea kesho wala sio binadamu yeyote,hao watabiri wamekutana na watu wajinga na wanawapa ujinga,na wao wanaamini ujinga.Kama Ponda, lakini akisema askofu walaa sio uchochezi.
Mwenye akili anamtumaini mungu tu kwa kila kitu.