Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

why awataje waislam wakati wagombea wawili powerful hakuna muislam?
Halafu ana wa group waisla na wakatoliki kundi moja...why?

Na why washabiki wa lowassa wanaamini lowassa ni mlokole wakati yeye anasema ni mlutheri?


kwani nani aliyewahi kusema lowassa ni mlokole?...na ni lini watu walisema hilo??...na hapo mwingira aliposema kuwa rais hatotoka kwa waislam wala wakatoliki(kwa mujibu wa maono yake aliyopewa) hajamaanisha kuwa rais atatoka kwa walokole pia anaweza kuwa na dhehebu la tofauti na lake pia na hayo alosema mwanzo!
 
Udini udhehebu utatupeleka pabaya na jf mnachangia kwa kushobokea

Alipo tabiri Marehemu mzee wetu Shekh Yahya kipindi kile mbona hatukusema issue za Udini wala Udhehebu. Soma alama za nyakati hata uki google tu utapata hizo.
 
Hawa wanaojiita manabii na hawa wanaoanzisha makanisa sasa hvi watatuharibia aman ya nchi yetu.

Zaman palikuwa na RC, protestant na Uislamu hapakuwa na mambo ya kutabiri tabir za uongo hizi, hapakuwa na tabia wa watumishi au viongoz wa dini kutembea na wake za watu..

Serikali iangalie mipaka ya hawa jamaa wanaojiita manabii hawa.
Kwanza wameuchafua sana ukiristo kila sku wao na mautabir ya kishetan ya kutafuna wake za watu.
 
Wangekuwa masheikh wanaongea Maneno haya wangeitwa magaidi,wachochezi.mida hii wangekuwa segerea

Shekhe Yahya Jr nae alitabiri tena mbaya kabisa mpaka kusema mgombea atakufa .na huyu nabii Jana aliyetabiri ccm itashindi, vipi nao segerea aiwahusu.maana sijaona ukiwatolea tamko
 
Mwingira tapeli tu hana lolote ni nabii wa uongo pamoja na gwajima wake miujiza feki ya kishetani na tabiri za uongo namfahamu vizuri mme wangu tangu aingie kusali efata ndo kawa mbaya kuliko. Kawa na tabia mbaya mpaka basi
 
Mwingira hajawahi kukosea katika utabiri wowote ule..... Nazidi kuamini Ukawa wanachukua Nchi
 
Hivi kwa nini hawa maaskofu sijui mapdre wa madhehebu yasiyo tambulika wanajifanya hii nchi yao. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa! Serikali has to say something! Waislamu wakristu wapagani ndani YA nchi yetu sote ni ndugu msituletee udini wenu! Tume ya uchaguzi wakemeeni watu hawa siasa inawahusu nini wao
 
Mwingira tapeli tu hana lolote ni nabii wa uongo pamoja na gwajima wake miujiza feki ya kishetani na tabiri za uongo namfahamu vizuri mme wangu tangu aingie kusali efata ndo kawa mbaya kuliko. Kawa na tabia mbaya mpaka basi
unaweza kututajia japo kwa ufupi tu hizo tabia mbaya za mumeo ?
 
Tumefika huku? Hatari sana hii

Hatari ni huyu aliokuletea mambo ya dini huku kwenye siasa .ataa ya Lowasa mbaya ccm alie kwenda kuleta mambo ya kanisani kwenye siasa.kwa wakristo kila jumapili wanakipindi cha kukaribisha wageni na kuomba uombewe shida zako na waumini wenzako na kadhalika kutoa shukruni .na kutoa ushuhuda juu ya mafanikio uliojaliwa kwa maombezi.na hii ni kwa kila muhumini.na kila jumapili.sasa ccm kwakuingilia taratibu za dini kwa makusudi wameonyesha kuwa kukaribishwa madhabauni na kuomba uombewe ni Alikuwa anaomba kura kanisani.navile awajui tuu kwa ndani hii kitendo kimelikasirisha sana kanisa kwa kuingilia Uhuru wa kuabudu..kama unabisha Fanya uchunguzi wako makanisa yote ya kiprostanti ndivyo yanaendesha ibada zao hivyo .kila jumapili
 
Askofu Josephat Mwingira asema Raisi wa awamu ya tano atatoka nje ya madhehebu ya katoliki na uislam.

Pia askofu huyo mwenye makanisa kila pande ya nchi na wafuasi lukuki aliendelea kusema kwamba uongozi wa Raisi huyo utakuwa na nguvu sana na atabadilisha mambo mengi kwa kipindi kifupi sana (Maono kutoka mbinguni)


Akiri za kuambiwa changanya na za kwako ..Lengo ni mabadiliko.


jisikilizie mwenyewe Audio hii nime attach hapo wanajamvi
Huyu askofu ni kilaza, aliyesema uislamu ni dhehebu mi nani?
Hivi hii 'mitumishi' feki ya Mungu sijui imelishwa nini?? yaani kipindi hiki ndo tunaona viongozi wa dini vilaza! Mi mkristo, ila mbona wenzetu waislamu wametulia tuli wala hawako bize kuligawa taifa??
 
tuliwambia hawa wachungaji fake wana udini sana......sasa ata rais akiwa mluteli itawasaidia nini wananchi,zaidi ya maaskofu kupewa deal za ulaji....?,,
mwananchi wa kawaida hanufaiki kwa lolote.

na rais atakageuza ikulu kuwa dayosisi lazima ataondolewa tu
 
haya ni mambo ya kawaidatu. Najua jambo hili linawaumiza sana watu wa ccm. Hawapendi kusikia mambo haya.

Tb joshua. Alitabiri uchaguzi wa kenya. Na hikawa hivyo, akatabiri na uchaguzi wa nchi yake nigeria na hikawa hivyo hivyo.

Na hata hapa kwetu alishatabiri juu ya lowassa kuchukua nchi mwaka uhu. Sasa wanaobisha tukutane baada ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom