Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

Elections 2015 Askofu Mwingira: "Rais wa awamu ya tano siyo katoliki wala uislam"

wehu nyie. Mbona hawazungumzi na Mungu wao wakati wa gharika za mafuriko? Au Mungu wenu anakuwa kalewa kalala?

mungu wao ni wa nyakati za siasa tu,tena siasa za ukawa vs ccm....


nasikia mungu mwenyewe pia ni mwanabavicha
 
haswaaaaa

Acheni udini nyie ng'.....! Wakristo mara waislam mara wengi sijui wachache,mkuu wa wilaya mzima unamawazo ya kingur.... hivyo sijawahi fikiri kama unaweza ukawaza hivyo shule yako inaonyesha ulipewa tu vyeti haijakusaidia pole sana
 
Ukiona watu wanaanza kujificha kwenye blanketi la udini jua mambo si mambo.

Wamezidiwa. Magufuli anawakimbiza hatareeee.
 
Mod. Futa huu uzi."amepost upotoshaji mkubwa na kumsingizia askofu mwingira.
Kuthibitisha hili hiyo audio ina empty content. Sheria ya mtandao ichukue nafasi yake!!!!"
 
mlutheri aliyeokoka
Why awataje waislam wakati wagombea wawili powerful hakuna muislam?
halafu ana wa group waisla na wakatoliki kundi moja...why?

Na why washabiki wa Lowassa wanaamini Lowassa ni mlokole wakati yeye anasema ni mlutheri?
 
Hivi idadi ya hawa walokole na waprotestant wapo wangapi nchini? Kwa upande wangu naamini Waislam na Wakatoliki ndo wengi zaidi
Cha ajabu Lowassa anaungwa mkono na idadi kubwa ya wakatoliki na waisilamu, sasa ukichanganya na waprotestant wake sijui itakuwaje hiyo October!
 
Na unabii usipotimia itakuaje? Anatuahidi nini?

Mod aufute uzi."amepost upotoshaji mkubwa
na kumsingizia askofu mwingira.
Kuthibitisha hili hiyo audio ina empty content.
Sheria ya mtandao ichukue nafasi yake!!!!"
 
Cha ajabu Lowassa anaungwa mkono na idadi kubwa ya wakatoliki na waisilamu, sasa ukichanganya na waprotestant wake sijui itakuwaje hiyo October!

Mod. afute huu uzi."amepost upotoshaji mkubwa
na kumsingizia askofu mwingira.
Kuthibitisha hili hiyo audio ina empty content.
Sheria ya mtandao ichukue nafasi yake!!!!"
 
Askofu Josephat Mwingira asema Raisi wa awamu ya tano atatoka nje ya madhehebu ya katoliki na uislam.

Pia askofu huyo mwenye makanisa kila pande ya nchi na wafuasi lukuki aliendelea kusema kwamba uongozi wa Raisi huyo utakuwa na nguvu sana na atabadilisha mambo mengi kwa kipindi kifupi sana (Maono kutoka mbinguni)


Akiri za kuambiwa changanya na za kwako ..Lengo ni mabadiliko.


jisikilizie mwenyewe Audio hii nime attach hapo wanajamvi

Mod. afute huu uzi."amepost upotoshaji mkubwa
na kumsingizia askofu mwingira.
Kuthibitisha hili hiyo audio ina empty content.
Sheria ya mtandao ichukue nafasi yake!!!!"
 
Na unabii usipotimia itakuaje? Anatuahidi nini? Au tumwiteje?

Usitimie kwa tatizo gani? Unaweza kuzuia mabadiliko wewe? Umati wa watanzania wenye kuhitaji mabadiliko ya kimaendeleo na wenye kukikataa chama Cha Mapinduzi ni Unabii tosha achilia mbali ule wa Shekh Yahya,TB Joshua na huu wa Mwingira. Amka kumekucha njoo UKAWA Upewe Maendeleo ya maana wachana na viini macho vya vibarabara vya kwenda chooni. Toroka uje.
 
Mod. afute huu uzi."amepost upotoshaji mkubwa
na kumsingizia askofu mwingira.
Kuthibitisha hili hiyo audio ina empty content.
Sheria ya mtandao ichukue nafasi yake!!!!"
Wacha kulia lia mtu mzima wewe.
 
Back
Top Bottom