Uchaguzi 2020 Askofu na Sheikh wamwaga dua nzito dhidi ya watakaofanya dhulma katika Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Askofu na Sheikh wamwaga dua nzito dhidi ya watakaofanya dhulma katika Uchaguzi huu

Katika mkutano wa Chadema leo Kawe, Askofu Mwamakula na Sheikh Katimba leo wametoa dua nzito sana dhidi ya mtu yeyote atakayetenda dhulma kudhulumu haki za watanzania kwenye kupata viongozi wao halali wa nchi hii.

Askofu Mwamakula amesoma dua nzito ya kuomba Mungu ashushe Malaika wawashughulikie wote watakaojaribu kupora haki za watanzania kuchagua wawatakao. Ametoa mfano wa namna Malaika walipopambana na majeshi ya Ibilisi na kumnyang'anya funguo za kuzimu.

Sheikh Katimba akaomba Mungu amdhalilishe mtu yoyote atakayekula njama za za dhulma ya haki za wananchi, ameomba Mungu amdhalilishe hapahapa duniani na huko Mbinguni

Mimi nasema hawa viongozi wa kitaifa, viongozi wa CCM, VIongozi wa NEC na wote wanaokula njama za kuvuruga uchaguzi MWENYEZI MUNGU ANAONA, LAANA HAZITAWAACHA SALAMA IWAPO MTATEKELEZA UDHALIMU HUU!

Mwaka 2015 Mkuu wa nchi wakati anaapishwa pale uwanja wa Taifa kuwa rais, alisomewa dua na Askofu na Sheikh dua nzito huku akiapa kuwa mtenda haki na kutoonea wala kubagua. Sasa Dua za Mungu huwa haziendi bure, namshauri ajipime aone kama amekiishi hiki kiapo. Viapo mbele ya Mungu ni vizito!

Nimkumbushe tu Rais Magufuli kuwa siku anaapishwa pale Uwanja wa Taifa, Sheikh Mkuu alimsomea dua nzito sana akiambatanisha dua hiyo na aya Nzito kuliko zote kwenye Qu'ran aya ya Mamlaka ya Mungu (Ayatul' Kursiyyu). Hii ni Aya yenye Ulinzi mzito!, Waislamu huitumia aya hii kwenye kujilinda dhidi ya mamlaka za Ibilisi, uchawi, wenye nia mbaya n.k. Na kweli Mungu kamlinda Rais katika Mengi mpaka sasa. Lakini nimkumbushe tu mheshimiwa rais kuwa Qur'an huwa haichezewi chezewi, Mwisho wake siyo Mzuri. Ni bora atende haki la sivyo Mungu hadhihakiwi!, Adhabu yake ni kali!

Maamuzi ni yake atekeleze kiapo chake au akivunje!. Mungu anamuona!
Nimejikuta nakumbuka dua za Kawe.Nilikwepo siku ile wakati shehe anamwaga dua.Usicheze na watu wa Mungu
 
Shehe kaongea kwa uchungu Sana nimeona
Huenda Mungu alijibu
Baada ya Magufuli kuapishwa pale uwanja wa Taifa mwaka 2015 alisomewa Aya nzito sana na Sheikh Mkuu iitwayo Ayatul Kursiyyu hiyo ni Aya kuu ya ulinzi ndani ya kwenye Qur'an kuliko zote ili Mungu ampe ulinzi akatende haki, sasa ngoja aende nje ya viapo alivyoapa pale uwanja wa Taifa mwaka 2015 aje aone mwisho wake!.
Hatariiii sana
Wakinia kwa dhati ya kiroho hizi dua zitaleta effect kubwa sana
Aiseeee
 
Katika mkutano wa Chadema leo Kawe, Askofu Mwamakula na Sheikh Katimba leo wametoa dua nzito sana dhidi ya mtu yeyote atakayetenda dhulma kudhulumu haki za watanzania kwenye kupata viongozi wao halali wa nchi hii.

Askofu Mwamakula amesoma dua nzito ya kuomba Mungu ashushe Malaika wawashughulikie wote watakaojaribu kupora haki za watanzania kuchagua wawatakao. Ametoa mfano wa namna Malaika walipopambana na majeshi ya Ibilisi na kumnyang'anya funguo za kuzimu.

Sheikh Katimba akaomba Mungu amdhalilishe mtu yoyote atakayekula njama za za dhulma ya haki za wananchi, ameomba Mungu amdhalilishe hapahapa duniani na huko Mbinguni

Mimi nasema hawa viongozi wa kitaifa, viongozi wa CCM, VIongozi wa NEC na wote wanaokula njama za kuvuruga uchaguzi MWENYEZI MUNGU ANAONA, LAANA HAZITAWAACHA SALAMA IWAPO MTATEKELEZA UDHALIMU HUU!

Mwaka 2015 Mkuu wa nchi wakati anaapishwa pale uwanja wa Taifa kuwa rais, alisomewa dua na Askofu na Sheikh dua nzito huku akiapa kuwa mtenda haki na kutoonea wala kubagua. Sasa Dua za Mungu huwa haziendi bure, namshauri ajipime aone kama amekiishi hiki kiapo. Viapo mbele ya Mungu ni vizito!

Nimkumbushe tu Rais Magufuli kuwa siku anaapishwa pale Uwanja wa Taifa, Sheikh Mkuu alimsomea dua nzito sana akiambatanisha dua hiyo na aya Nzito kuliko zote kwenye Qu'ran aya ya Mamlaka ya Mungu (Ayatul' Kursiyyu). Hii ni Aya yenye Ulinzi mzito!, Waislamu huitumia aya hii kwenye kujilinda dhidi ya mamlaka za Ibilisi, uchawi, wenye nia mbaya n.k. Na kweli Mungu kamlinda Rais katika Mengi mpaka sasa. Lakini nimkumbushe tu mheshimiwa rais kuwa Qur'an huwa haichezewi chezewi, Mwisho wake siyo Mzuri. Ni bora atende haki la sivyo Mungu hadhihakiwi!, Adhabu yake ni kali!

Maamuzi ni yake atekeleze kiapo chake au akivunje!. Mungu anamuona!
Du, kumbe rungu la Mola lilikuwa hewani!
 
Watu wengi msiomjua Mungu unafikiri kuwa, Ikiombwa dua Basi Jambo hutokea Mara kama vile Elia alivyoomba Moto ukashuka, au enzi za sodoma au Nuhu.

Mungu anasema huwa hachelewi Wala kuwahi kujibu.
Kibaya zaidi watu yanapotupata mabaya huwa hatujihoji kwanini yananipata haya!
Kumbe mengi mabaya yanatokana na mabaya tunayofanyiana. Mungu ana laani
Amen
 
Nimejikuta nakumbuka dua za Kawe.Nilikwepo siku ile wakati shehe anamwaga dua.Usicheze na watu wa Mungu
Hapo hakuna mtu wa Mungu kuanzia huyo Mwamakula na hao wapiga dua na wewe ukiwemo

Kasome BIblia Ezekieli 18:23 inatamka wazi kuwa Mungu HAFURAHII KABISA KIFO CHA MWENYE DHAMBI

Sasa kama wewe na wenzio akina Mwamakula mnlikuwa mnamuona Magufuli kuwa alikuwa ni mwenye dhambi na mnafurahia kifo chake nyie wote wapagani watupu msiomjua Mungu HAKUNA MTU WA MUNGU HAPO

Na dua za kuomba mwenye dhambi afe haziko in line na mapenzi ya Mungu ni za kipagani ndio maana CHADEMA ilipigwa chini jumla uchaguzi uliopita
 
Hapo hakuna mtu wa Mungu kuanzia huyo Mwamakula na hao wapiga dua na wewe ukiwemo

Kasome BIblia Ezekieli 18:23 inatamka wazi kuwa Mungu HAFURAHII KABISA KIFO CHA MWENYE DHAMBI

Sasa kama wewe na wenzio akina Mwamakula mnlikuwa mnamuona Magufuli kuwa alikuwa ni mwenye dhambi na mnafurahia kifo chake nyie wote wapagani watupu msiomjua Mungu HAKUNA MTU WA MUNGU HAPO

Na dua za kuomba mwenye dhambi afe haziko in line na mapenzi ya Mungu ni za kipagani ndio maana CHADEMA ilipigwa chini jumla uchaguzi uliopita
Jikumbushe zile dua.
 
Hapo hakuna mtu wa Mungu kuanzia huyo Mwamakula na hao wapiga dua na wewe ukiwemo

Kasome BIblia Ezekieli 18:23 inatamka wazi kuwa Mungu HAFURAHII KABISA KIFO CHA MWENYE DHAMBI

Sasa kama wewe na wenzio akina Mwamakula mnlikuwa mnamuona Magufuli kuwa alikuwa ni mwenye dhambi na mnafurahia kifo chake nyie wote wapagani watupu msiomjua Mungu HAKUNA MTU WA MUNGU HAPO

Na dua za kuomba mwenye dhambi afe haziko in line na mapenzi ya Mungu ni za kipagani ndio maana CHADEMA ilipigwa chini jumla uchaguzi uliopita
Dua ilianza na mkubwa wao
 
Katika mkutano wa Chadema leo Kawe, Askofu Mwamakula na Sheikh Katimba leo wametoa dua nzito sana dhidi ya mtu yeyote atakayetenda dhulma kudhulumu haki za watanzania kwenye kupata viongozi wao halali wa nchi hii.

Askofu Mwamakula amesoma dua nzito ya kuomba Mungu ashushe Malaika wawashughulikie wote watakaojaribu kupora haki za watanzania kuchagua wawatakao. Ametoa mfano wa namna Malaika walipopambana na majeshi ya Ibilisi na kumnyang'anya funguo za kuzimu.

Sheikh Katimba akaomba Mungu amdhalilishe mtu yoyote atakayekula njama za za dhulma ya haki za wananchi, ameomba Mungu amdhalilishe hapahapa duniani na huko Mbinguni

Mimi nasema hawa viongozi wa kitaifa, viongozi wa CCM, VIongozi wa NEC na wote wanaokula njama za kuvuruga uchaguzi MWENYEZI MUNGU ANAONA, LAANA HAZITAWAACHA SALAMA IWAPO MTATEKELEZA UDHALIMU HUU!

Mwaka 2015 Mkuu wa nchi wakati anaapishwa pale uwanja wa Taifa kuwa rais, alisomewa dua na Askofu na Sheikh dua nzito huku akiapa kuwa mtenda haki na kutoonea wala kubagua. Sasa Dua za Mungu huwa haziendi bure, namshauri ajipime aone kama amekiishi hiki kiapo. Viapo mbele ya Mungu ni vizito!

Nimkumbushe tu Rais Magufuli kuwa siku anaapishwa pale Uwanja wa Taifa, Sheikh Mkuu alimsomea dua nzito sana akiambatanisha dua hiyo na aya Nzito kuliko zote kwenye Qu'ran aya ya Mamlaka ya Mungu (Ayatul' Kursiyyu). Hii ni Aya yenye Ulinzi mzito!, Waislamu huitumia aya hii kwenye kujilinda dhidi ya mamlaka za Ibilisi, uchawi, wenye nia mbaya n.k. Na kweli Mungu kamlinda Rais katika Mengi mpaka sasa. Lakini nimkumbushe tu mheshimiwa rais kuwa Qur'an huwa haichezewi chezewi, Mwisho wake siyo Mzuri. Ni bora atende haki la sivyo Mungu hadhihakiwi!, Adhabu yake ni kali!

Maamuzi ni yake atekeleze kiapo chake au akivunje!. Mungu anamuona!
Bado mna mawazo ya haya Mambo
 
Katika mkutano wa Chadema leo Kawe, Askofu Mwamakula na Sheikh Katimba leo wametoa dua nzito sana dhidi ya mtu yeyote atakayetenda dhulma kudhulumu haki za watanzania kwenye kupata viongozi wao halali wa nchi hii.

Askofu Mwamakula amesoma dua nzito ya kuomba Mungu ashushe Malaika wawashughulikie wote watakaojaribu kupora haki za watanzania kuchagua wawatakao. Ametoa mfano wa namna Malaika walipopambana na majeshi ya Ibilisi na kumnyang'anya funguo za kuzimu.

Sheikh Katimba akaomba Mungu amdhalilishe mtu yoyote atakayekula njama za za dhulma ya haki za wananchi, ameomba Mungu amdhalilishe hapahapa duniani na huko Mbinguni

Mimi nasema hawa viongozi wa kitaifa, viongozi wa CCM, VIongozi wa NEC na wote wanaokula njama za kuvuruga uchaguzi MWENYEZI MUNGU ANAONA, LAANA HAZITAWAACHA SALAMA IWAPO MTATEKELEZA UDHALIMU HUU!

Mwaka 2015 Mkuu wa nchi wakati anaapishwa pale uwanja wa Taifa kuwa rais, alisomewa dua na Askofu na Sheikh dua nzito huku akiapa kuwa mtenda haki na kutoonea wala kubagua. Sasa Dua za Mungu huwa haziendi bure, namshauri ajipime aone kama amekiishi hiki kiapo. Viapo mbele ya Mungu ni vizito!

Nimkumbushe tu Rais Magufuli kuwa siku anaapishwa pale Uwanja wa Taifa, Sheikh Mkuu alimsomea dua nzito sana akiambatanisha dua hiyo na aya Nzito kuliko zote kwenye Qu'ran aya ya Mamlaka ya Mungu (Ayatul' Kursiyyu). Hii ni Aya yenye Ulinzi mzito!, Waislamu huitumia aya hii kwenye kujilinda dhidi ya mamlaka za Ibilisi, uchawi, wenye nia mbaya n.k. Na kweli Mungu kamlinda Rais katika Mengi mpaka sasa. Lakini nimkumbushe tu mheshimiwa rais kuwa Qur'an huwa haichezewi chezewi, Mwisho wake siyo Mzuri. Ni bora atende haki la sivyo Mungu hadhihakiwi!, Adhabu yake ni kali!

Maamuzi ni yake atekeleze kiapo chake au akivunje!. Mungu anamuona!
Na majibu wote tumeyaona,sasa wale wa kupandisha mabega na kushupaza shingo wajue zile dua bado ziko valid.
 
Hapo hakuna mtu wa Mungu kuanzia huyo Mwamakula na hao wapiga dua na wewe ukiwemo

Kasome BIblia Ezekieli 18:23 inatamka wazi kuwa Mungu HAFURAHII KABISA KIFO CHA MWENYE DHAMBI

Sasa kama wewe na wenzio akina Mwamakula mnlikuwa mnamuona Magufuli kuwa alikuwa ni mwenye dhambi na mnafurahia kifo chake nyie wote wapagani watupu msiomjua Mungu HAKUNA MTU WA MUNGU HAPO

Na dua za kuomba mwenye dhambi afe haziko in line na mapenzi ya Mungu ni za kipagani ndio maana CHADEMA ilipigwa chini jumla uchaguzi uliopita
Aliyedhulumu haki ya wapiga kura leo hii anabanikwa kama ndafu,Mungu hadhihakiwi,na bado zile dua ziko valid kwani Mungu wetu ni yule jana,leo na hata milele.
 
Back
Top Bottom