Mkaruka JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 19,629 Reaction score 34,199 Jul 19, 2021 #61 Missile of the Nation said: Kusomewa dua za maangamizi ni jambo zito. Ni heri mtu utende haki! Click to expand... Hivi huko Zanzibar hawa masheikh hawapo ?? Finally, stori za Kikwete ndio anaendesha nchi zimekufa. Siasa zetu bana, duuh.
Missile of the Nation said: Kusomewa dua za maangamizi ni jambo zito. Ni heri mtu utende haki! Click to expand... Hivi huko Zanzibar hawa masheikh hawapo ?? Finally, stori za Kikwete ndio anaendesha nchi zimekufa. Siasa zetu bana, duuh.
MAPITO Mwanza JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 4,236 Reaction score 5,907 Jul 19, 2021 #62 Akiba haiozi leo jiwe hatupo nae kisha sahaulika
samurai JF-Expert Member Joined Oct 16, 2010 Posts 11,495 Reaction score 24,223 Jul 19, 2021 #63 Mkaruka said: Hivi huko Zanzibar hawa masheikh hawapo ?? Finally, stori za Kikwete ndio anaendesha nchi zimekufa. Siasa zetu bana, duuh. Click to expand... Hawa ndio wanataka wapewe nchi...? unaanza kuwapa nchi watu wasioaminika aka wapiga ramli..ambao leo wanaamua hivi na kesho wanaamua vile...
Mkaruka said: Hivi huko Zanzibar hawa masheikh hawapo ?? Finally, stori za Kikwete ndio anaendesha nchi zimekufa. Siasa zetu bana, duuh. Click to expand... Hawa ndio wanataka wapewe nchi...? unaanza kuwapa nchi watu wasioaminika aka wapiga ramli..ambao leo wanaamua hivi na kesho wanaamua vile...