Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwezi kushimu maamuzi hiovyo kama yaha. Kiongozi wa kiroho alitakiwa kuwa mfano wa kushimu mawazo na maamuzi ya mkuu wa nchi。jino kwa jino hatuwezi kumheshimu mtu wa aina hii ambaye anawapelekea waumini wake kwenye uasi.Jifunze kuheshimu maamuzi na mawazo ya mtu. Ukae ukijua binadamu hamuwezi kufanana kwa mawazo kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
hatuwezi kushimu maamuzi hiovyo kama yaha.Kiongozi wa kiroho alitakiwa kuwa mfano wa kushimu mawazo na maamuzi ya mkuu wa nchi。jino kwa jino hatuwezi kumheshimu mtu wa aina hii ambaye anawapelekea waumini wake kwenye uasi
Nilivyoona Uzi wako wa Jiwe sijaona ajabu kuona comment hiiAskofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa itali wameshazika zaidi ya 20 elfu.hapo aliyeshinda ni Mungu au shetani?Roma Italy wenye dini Yao wanasali majumbani ,,,,#wakusanyikapo wawili au watatu Kwa Jina langu Mimi nipo Kati Yao,,,, Mwisho askofu anaijua misingi ya Dini KULIKO huyo mfalme wako!..
Ukumbuke na Chato ilikuwa sehemu ya biharamulo kabla haijamegwa na kurudishwa usukumani (Geita).Chato haipo Jimbo hili IPO huko Geita.
Jimbo hili Lina wilaya ya ngara na Biharamuro zote za kagera
Sent using Jamii Forums mobile app