#COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

#COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

Utavuna ulichopanda hivi karibuni maana wewe siyo roboti unao ndugu, jamaa na marafiki. Stop being heartless!
 
Rais kasema nyumba za ibada zisifungwe watu waende kuabudu na kumuomba Mungu aiponye nchi sawa sawa na maandiko:

2 mambo ya nyakati : Mlango 7

14 ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.

Alafu kiongozi wa dini anatoa hamri ndivyo sivyo! Ama kweli vibaraka wa mabeberu wamo pia ndani ya nyumba za kuabudia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu mwenyewe kafurahia hatua za mteule wake wa kiroho, ila shetani muuaji kachukia sana.
 
Acha ujinga,kati ya rais na mtumishi wa Mungu nani anapaswa kusikilizwa zaidi?rais akitoa amri wanawake wote wanavyoingia kanisani wavae suruali za jinsi utatii wakati unajua ni makosa kibiblia mwanamke kuvaa suruali?
Askofu kashaongea na Mungu wake kampa hekima hiyo sasa wewe na Mungu nani mkubwa?au Magufuli ni Mungu wako?
Rais kasema nyumba za ibada zisifungwe watu waende kuabudu na kumuomba Mungu aiponye nchi sawa sawa na maandiko:

2 mambo ya nyakati : Mlango 7

14 ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.

Alafu kiongozi wa dini anatoa hamri ndivyo sivyo! Ama kweli vibaraka wa mabeberu wamo pia ndani ya nyumba za kuabudia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuwezi kushimu maamuzi hiovyo kama yaha. Kiongozi wa kiroho alitakiwa kuwa mfano wa kushimu mawazo na maamuzi ya mkuu wa nchi。jino kwa jino hatuwezi kumheshimu mtu wa aina hii ambaye anawapelekea waumini wake kwenye uasi.
Nadhani hajatoa maamuzi haya kumpinga mkuu wa nchi. Hata vatican wenyewe waumini hawaji kanisani. Ndio kusema wanampinga waziri mkuu wa italy? Hapana?
Maamuzi yametolewa kutokana na hali halisi ilivyo na nchi inapoelekea. Si dhambi kusitisha kwa muda..
Sion baya lolote hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biblia imesema kila kitu kifanyike kwa uzuri na kwa utaratibu.Kama hujui tu nakudokeza kwamba jumapili ya leo itakuwa ya mwisho kwa madhehebu mengi hapa Tz.
Askofu ametoa mwongozo mzuri tu wa kulinda washirika wake.Hata Gwajima akitaka kusitiza ibada leo hazuiwi.Cha msingi ni kama hekima hiyo inatoka kwa Mungu au la?
Mungu kaagiza kuwa msiache kukusanyika huyo Askofu Nani amuige yeye anasema marufuku kukusanyika kwenye ibada!!! Mungu ni mkubwa kuliko huyo Askofu mpiga marufuku watu kukusanyika Ibadan. hakuna cha kuiga kwa huyo askofu mpagani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga,kati ya rais na mtumishi wa Mungu nani anapaswa kusikilizwa zaidi?rais akitoa amri wanawake wote wanavyoingia kanisani wavae suruali za jinsi utatii wakati unajua ni makosa kibiblia mwanamke kuvaa suruali?
Askofu kashaongea na Mungu wake kampa hekima hiyo sasa wewe na Mungu nani mkubwa?au Magufuli ni Mungu wako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu aliagiza watu wasiache kukusanyika kumeabudu huyo askofu ni Nani Wa kutengua alichoagiza Mungu? Hana mamlaka hayo

Kukusanyika kuabudu Mungu ndie kaagiza yeye Nani Wa kukataa.

Raisi yuko sahihi sababu hayuko juu ya Mungu na kaona asitdngue alichoagiza Mungu

Raisi anaijua dini kuliko huyo Askofu
 
We jamaa nakufuatilia kwenye kila uzi naona unaandika upumbavu wa level ya PhD
Anyway siyo lazima uwe unacomment kila uzi,vitu vingine ni vigumu kwako usipende kuvivamia...nasubiri povu lako
Askofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta

Waumini hawajashirikishwa

Papa aingilie kati

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa utaratibu wa Roman Catholic Church, Askofu haripoti kwa Kadinali. Kadili kazi yake kubwa ni kumchagua Papa.

Mara nyingi kadili huwa pia ni Askofu japo siyo lazima. Unaweza kuwa kadinali na usiwe Askofu wa Jimbo lolote.

Ulikwishawahi kusikia jambo mara moja Kadinali Pengo akiwapa maelekezo maaskofu?
Pengo amekuwa akitoa matamko mara kadhaa kuonesha na yeye na hadhi yake.

Niambie, kuna Kadinali mwingine zaidi ya Pengo Tz? binafsi sijawahi msikia.

Kama yupo Pengo peke yake alipewa hadhi hiyo na kina nani? na kama hiyo hadhi ya Kadinali haina mandate yoyote, kwanini hicho cheo kiwepo!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom