Hv una akili za hivi? Unajua Corona inambukizwa sana ktk mikusanyiko? Kusali ulijua lazima uende kanisani au msikitini? Ww ndio hukumuelewa Mh. Rais hata kidogo unaropoka hapa, Mh. Rais kasema tuombee nchi kwa siku 3, sio tuende kanisani kwa siku 3, na kuomba sio kwenda kanisani tu, acha ujinga mkubwa huu. Coronavirus inaua sana sasa hv nchi kama Italy, US, UK, France, sbb hawakuzuia mikusanyiko mapema, jua hilo, mikusanyiko yoyote ni hatari sana sana, au ulijua huko nje hawakuwa wanasali ww ndio unajua kusali kuliko wao? Tahadhari hapa muhimu sana kabla ya yote, kusali ni sehemu yoyote kaa nyumbani sali, acha ujinga. Akili kama hizi ndio utaambukiza wengi kisha watapata infection, acha ujinga, epuka mikusnayiko yote, fuata ushauri wa wataalam wa afya, sali home, ombea nchi ukiwa nyumbani, sio lazima uende kanisani au msikitini ktk mikusanyiko.