#COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

Usiwe mkali kiongozi jamaa alitakiwa akujuze tu, nikuwa papa anazaidi ya mwezi amelifunga kanisa itali na amejifungia ndani hatoki nje ibada anafanyia ndani
 
Hujioni ulivyokosa akili? Eti Papa aingilie kati. Yani umekaa kama kiroba hata hujui kinachoendelea huko alipo Papa.
Sam achana na huyu Lusuferi mwenye mguu mmoja anaye iga jina kwakujita ..... Yetu
 
Mkuu hawa Chadema huwa wanadhani Jamii forum ni mali yao

Lazima tuende nao kimafia

Akija kistaarabu atajibiwa, akija kibangi bangi atapewa za uso

Usiwe mkali kiongozi jamaa alitakiwa akujuze tu, nikuwa papa anazaidi ya mwezi amelifunga kanisa itali na amejifungia ndani hatoki nje ibada anafanyia ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana hawa ndiyo watu wanajua kufikirj wenyewe sio kusubiri MTU mmoja afikiri kwaniaba yenu!! Wengi wanaojikausha kisa ni sadaka siokwamba wanatamani sana kuhubiria watu
 
#Hongera Serikali ya Awamu ya Tano
 
askofu Kakobe,askofu Gwajima sambamba na mzee wa bapa igeni mfano huo
 
#Hongera Serikali ya Awamu ya Tano
 
Linapokuja swala la maaskofu wasioyumba huyu ni mmoja wao misimamo yake ilipelekea mpaka akahojiwa uraia wake

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa. Hivi walishamrejeshea paspoti yake? Huyu ndio alitakiwa amrithi Pengo hapa Dar. Hongera sana Baba Askofu NiweMugizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…