#COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

Mkuu hawa Chadema huwa wanadhani Jamii forum ni mali yao

Lazima tuende nao kimafia

Akija kistaarabu atajibiwa, akija kibangi bangi atapewa za uso



Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Bia yao, kwenye Uzi mmoja nimeona mtu anakusikitikia kuwa mume atakaye kuoa atapata shida sana. Sasa na mimi nakubaliana na huyo mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa lugha rahisi ni kwamba kaenda kinyume na kauli ya magu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Naona umepanick, huku jukwaani mbona utapagawa we dogo?
 
Huyo Askofu ndio amefanya tulilokuwa tunataka waumini. Viongozi wa dini hawakupaswa kukaa bila kujiongezea kwa kutegemea hisani ya wanasiasa wanaosaka huruma ya viongozi wa dini. Hongera baba askofu kwa kung'amua mtego wa wanasiasa wachovu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…