#COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

Kutokana na hiki ulichoandika hapa huoni Askofu nae kuna mamlaka anatakiwa kuisikiliza?

Labda sifahamu, hivi kati ya Askofu na Kadinali nani yupo juu ya mwingine?

Kama itatokea Kadinali yupo juu ya Askofu, sitashangaa siku za mbeleni hilo tamko la leo la Askofu likatenguliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga kakueleza ukweli, ulipaswa umwambie asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta

Waumini hawajashirikishwa

Papa aingilie kati

Sent using Jamii Forums mobile app

Vijana wa siku hizi na kutofahamu mambo ya dunia mnapeleka wapi upupu wenu huu??

Hivi hufahamu kuwa kwa mara ya kwanza toka vita kuu ya pili ya dunia, vatican sio sehemu ya kufanyia ibada tena? Hata pasaka papa kasalia kwenye chumba huku waumini wakijiunga kwa podcasts, vc na television.

Unashauri waiumini waulizwe bila kusema hata waulizwe vipi! Je kuna uamuzi wowote wa Papa au askofu waumini waliwahi kuulizwa? Nimegundua hujui majukumu ya uongozi. Uongozi ni kufanya uamuzi kwa niaba ya wengine ukiamini umechukua uamuzi ambao ungeungwa na wote.

Je, waliosema tuendelee na shughuli kama kawaida, wameuliza wananchi kwanza??
 
Katika viongozi wanaojali waumini au wananchi huyo Askofu ni namba moja Tanzania. Ubarikiwe Askofu
 
Roma Locuta Est, Causa Finita Est = "Rome has spoken, the case is closed".
Ngara sio Rome. Ni Askofu wa ngara ameamua hivyo.
I am interested to know this guy. He has been a source of many controversies. Who is he?
 
Angalizo
Kanisa Cathoric sio Dhehebu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…