ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Umejiunga jf juzijuzi tuu.lkn unadandia kila topic,huku ukijitanabaisha kama mpinga sugu wa mbeya.hebu kua muungwana,usituonyeshe jinsi ulivyo zero brain,utakwama tuu.ccm oyeeYani ulivyo tutusa unataka mimi niwaze kama wewe ?
Kwani papa anashindwa nini kuingilia?
Yanayoendelea Italy sio Tanzania
Usije ukafiri unauwezo mkubwa wa kuyatafakari mambo kumbe umejaa ujinga tu kichwani mwako
Shika adabu yako usinizoee
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeonyesha upumbavu uliopitiliza! Kadiri ya uwezo wa akili yako, endelea na propaganda.Askofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Michango kama hii ikiwa mingi inaweza 'kuwaamsha'. Kuna wanaosifia hata 'uharo bin uharisho'.Naunga mkono hoja ya Askofu. Naitaka serikali yangu ya Tanzania ichukue hatua madhubuti ili kuwakinga watu dhidi Corona.
Serikali ijifunze kuwa mara baada sikukuu ya Pasaka wagonjwa wameongezeka maradufu kwa sababu ya mikusanyiko iliyopindukia. Hivyo naitaka serikali ifuate nyayo za Askofu Niwemugizi kwa kutekeleza yafuatayo:
Moja, Mikusanyiko yote mikubwa ipigwe marufuku.
Pili Askari kanzu wawekwe kwenye stendi na vituo vya mabasi ili kuhakikisha ile social distance inazingitiwa nchi nzima. Ifahamike kuwa hii ni Vita na wakati wa Vita Askari ni lazima wawe mstari wa mbele kuwatetea wananchi. Amiri Jeshi mkuu Sasa ndio wakati wa kuwatumia Askari kwa manufaa ya Watanzania, siyo kwenye korosho za hasara.
Nne, Kuwe na lockdown ya safari za wakazi kutoka mji mkubwa mmoja kwenda mahali pengine hasa maeneo ya vijijini.
Tano, masoko na minada ipangwe kwa Askari kuhakikisha watu wanazingatia umbali wa kukaa, kupanga bidhaa au wanyama wao wanaouzwa
Sita, maji yasikatike kwenye miji yenye wakazi wengi. Kwa kuwa kipindi hiki maji yanatumika sana, serikali itoe fedha na kuzipa mamlaka za miji na majiji ili kuwapunguzia watumiaji gharama.
Saba, Makonda na wakuu wengine wa mikoa viherehere wadhibitiwe ili waache matamko ya kibabylon.
Hongera Askofu.
Wewe jamaa una shida kubwa sana mahali flani.Askofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui hyarakia ya kanisaUmeonyesha upumbavu uliopitiliza! Kadiri ya uwezo wa akili yako, endelea na propaganda.
Kanisa Katoliki Jimboni Rulenge-Ngara, wamesitisha kabisa Ibada/misa. Watu wasali nyumbani! Pia amewataka waumini wajikinge na COVID-19 na kuchukua tahadhari
Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara limesema limesitisha Ibada za Misa, maadhimisho mengine yanayokusanya Waumini wengi Kanisani na sala za Jumuiya kwa muda wa mwezi mmoja kuanzia Aprili 19, 2020
Askofu Severine Niwemugizi wa Jimbo hilo amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kutafakari alama za nyakati na kujifunza kutoka kwa watu wa Ulaya, Marekani na nchi za jirani na hatua ambazo Baba Mtakatifu alizichukua kwa kutoa maelekezo kwa Maaskofu Wakatoliki Duniani na namna ya kuadhimisha Ibada
Amesema pamoja na kumshukuru Rais Magufuli kutotoa amri ya kufunga Makanisa na Misikiti, akihimiza kufanya ibada kumuomba Mungu atunusuru na janga hili, kama Mchungaji wa Jimbo la Rulenge-Ngara ameamua kuchukua uamuzi huo
Aidha, Askofu Niwemugizi amesema pale itakapowezekana wataomba redio Kwizera irushe adhimisho la Misa fupi na Waamini wafuatilie redioni. Baada ya mwezi kuisha Kanisa litaangalia hali ilivyo ili kama iliongeze muda
Pia, amewataka mapadre kuadhimisha misa peke yao kwa niaba ya waumini kuwaombea na kuiombea dunia ili Mungu atunusuru na #COVID19 hili na kuagiza sala za Jumuiya kufanyika ndani ya familia kwa familia moja moja
View attachment 1422602
Ingependeza Askofu wa DSM angekuwa wa kwanza.
Lkn huu ni mfano naamini wengine watarespond
Haitii akilini kuzuia ibada ya jumuiya na kuacha misa zenye watu wengi.
Kutokana na hiki ulichoandika hapa huoni Askofu nae kuna mamlaka anatakiwa kuisikiliza?
Labda sifahamu, hivi kati ya Askofu na Kadinali nani yupo juu ya mwingine?
Kama itatokea Kadinali yupo juu ya Askofu, sitashangaa siku za mbeleni hilo tamko la leo la Askofu likatenguliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa mpole ukawaza vizuri huenda usingetukana! Haitakiwa tusubiri iwe Kama ilivyo kwa Papa ndo makanisa yafungwe! Inatakiwa tuchukue hatua mapema ili tusifike hukoYani ulivyo tutusa unataka mimi niwaze kama wewe ?
Kwani papa anashindwa nini kuingilia?
Yanayoendelea Italy sio Tanzania
Usije ukafiri unauwezo mkubwa wa kuyatafakari mambo kumbe umejaa ujinga tu kichwani mwako
Shika adabu yako usinizoee
Sent using Jamii Forums mobile app
Askofu angekaimisha ibada kwa shemasi haya ni maamuzi ya kidikteta
Waumini hawajashirikishwa
Papa aingilie kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kanisa katoliki,askofu ndiye msemaji wa mwisho wa Jimbo,anaamua anavyoona inafaa ndani ya Jimbo lake. Kwa hiyo hata papa aliamua pia hivyo hivyo kufuta misa za mikusanyiko. Pia huwa hakuna kiongozi wa kanisa katoliki katika level ya nchi.
HapanaAtafanya hivyo sababu sasa jimbo la Dar lina askofu wa kanisa.Hapo nyuma tulikuwa na askofu wa CCM
Sheria ya zamaniKadinari sio daraja ni hadhi askofu ana mamlaka kuliko kadinari maana ata mlei wa kawaida anaweza kuwa kadinari
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa utaratibu wa Roman Catholic Church, Askofu haripoti kwa Kadinali. Kadili kazi yake kubwa ni kumchagua Papa.Kutokana na hiki ulichoandika hapa huoni Askofu nae kuna mamlaka anatakiwa kuisikiliza?
Labda sifahamu, hivi kati ya Askofu na Kadinali nani yupo juu ya mwingine?
Kama itatokea Kadinali yupo juu ya Askofu, sitashangaa siku za mbeleni hilo tamko la leo la Askofu likatenguliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Washauri wa papa na warithi kiti cha petro.Kwa utaratibu wa Roman Catholic Church, Askofu haripoti kwa Kadinali. Kadili kazi yake kubwa ni kumchagua Papa.
Mara nyingi kadili huwa pia ni Askofu japo siyo lazima. Unaweza kuwa kadinali na usiwe Askofu wa Jimbo lolote.
Ulikwishawahi kusikia jambo mara moja Kadinali Pengo akiwapa maelekezo maaskofu?