Yaani kaivamia Zanzibar Na kuuwa zaidi ya watu 10000 Na mpaka Leo haijakaa sawa inadidimia kwa mzimu Wake wa CCM, wewe unamuona ni mtu wa maana ??Hapana utakuwa umewahi mno kurukia kwenye conclusion.
Nyerere alikuwa Jembe mno kuliko hawa!
Uzi huu title yake ilikuwa "Mjue Nyerere in a Nutshell" bahati mbaya @mods wamekarabati kichwa kikaingia maji:
Mwalimu Nyerere alipunguza mshahara wake kwa uzalendo
Kukupa picha.
Nyerere alikuwa binadamu na kiongozi bora mno kuliko hawa.
Kuwa bora kuliko hawa hakuna maana ndiyo alikuwa optimal.
Nami nakazia; hakuna tofauti ya misingi ya CCM ya mwaka 1977 na CCM ya October 14, 2021. Ni hivyo tu yaani.
Biblia inasema by their fruits you will recognise themUko nje ya mada ya baba askofu.
CCM ya Nyerere si ya kununua wapinzani.
CCM ya Nyerere si ya ofisi za 19bn/-
CCM hawa si huyu
Mwalimu Nyerere alipunguza mshahara wake kwa uzalendo
Tunajivunia Nyerere lakini si CCM.
Huyu Askofu kasahau historia Ina maana ajui yaliyomkuta tutemeke sanga,kassanga tumbo,kambona,bibi titi, mohamed seif,james mapalala,nk.Nyerere alikuwa ni cold black dikteta na sio pure blood dikteta.
Nami nakazia; hakuna tofauti ya misingi ya CCM ya mwaka 1977 na CCM ya October 14, 2021. Ni hivyo tu yaani.Ninakazia:
"muumini wa CCM ya Nyerere hawezi kuwa muumini wa CCM hizi tunazoziona."
Unaelewa maana yake?
Haaaah...sasa angalau umekuja ktk hoja nyingine tofauti na CCM ya Nyerere na CCM ya sasa. Naweka sawa; misingi ya CCM ni ileile ya mwaka 1977 na sasa.Uko nje ya mada ya baba askofu.
CCM ya Nyerere si ya kununua wapinzani.
CCM ya Nyerere si ya ofisi za 19bn/-
CCM hawa si huyu
Mwalimu Nyerere alipunguza mshahara wake kwa uzalendo
Tunajivunia Nyerere lakini si CCM.
Nami nakazia; hakuna tofauti ya misingi ya CCM ya mwaka 1977 na CCM ya October 14, 2021. Ni hivyo tu yaani.
Haaaah...sasa angalau umekuja ktk hoja nyingine tofauti na CCM ya Nyerere na CCM ya sasa. Naweka sawa; misingi ya CCM ni ileile ya mwaka 1977 na sasa.
Hii hoja yako ya pili sasa, nayo inahitaji uthibitisho.
Tatu, kama ni kuzungumzia misingi ya Mwalimu ktk maadili na miiko ya uongozi, basi inagusa hadi wapinzani. Kwani Mwalimu alitaka CCM na vyama vya upinzani vizingatie miiko na maadili ya uongozi, utu, demokrasia , utaifa, uzalendo na kulinda Uhuru wetu.
Vyeti bwana!!Angeanza na kaburi la JPM na sukumagang wote!
Ovyo sana!! Wapumbavu wakubwa!
Alichofaulu Nyerere ni kudhibiti mabaya yake yasijulikane.Magu alishindwa sababu ya teknologia.
Hao walikuja baada yake ni matokeo ya siasa zake.
Aliwalea mwenyewe kufanya hayo. Yeye mwenyewe aliwauwa. Karume, Hanga, Othman Sharrif Na maelfu ya Wazanzibari
Nyerere Aliua watu kibao, aliwaweka watu kizuizini! Halafu mnapiga kelele eti nyerere nyerere nendeni kaburini kwake mkamuabudu! Mdini kupindukia
Jpm angempeleka Mirembe akatibiweKwahiyo, kumbe hata wale waliokuwa wanacharazwa bakora enzi za JPM walikuwa sahihi? Viva JPM!!!!!
JPM angempeleka nani Mirembe? Askofu Niwemugizi?Jpm angempeleka Mirembe akatibiwe
Wewe na jpm Nyerere angewasaidia matibabuJPM angempeleka nani Mirembe? Askofu Niwemugizi?
Umeambiwa hata yeye angekula mboko za kutosha πππKwahiyo, kumbe hata wale waliokuwa wanacharazwa bakora enzi za JPM walikuwa sahihi? Viva JPM!!!!!
Yeye nani?Umeambiwa hata yeye angekula mboko za kutosha πππ
MwenzakeYeye nani?
Yeye nani?