Askofu Nyaisonga avishangaa Vyama vya Upinzani kususia uchaguzi. Ahimiza waumini kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi


Acha kuaminisha watu uongo. Yule Shoo wa KKKT yeye anayeongelea siasa na kuandika waraka mbona hamzunguzii.

Safari hii mtapata tabu sana. Hakuna kumbelezena ni mwendo wa kwenda mbele
 

Uzuri ni kuwa hao viongozi wa dini wote tunakutana kwenye kusaka Malaya hivyo tunajua hamna lolote watatambua. Huko kwenye dini wako kwenye utafutaji kama utafutaji mwingine.
 
Wengi wa viongozi wa dini wanapata habari za vyombo vya habari kama TBC, RADIO TANZANIA hawajui lolote nje ya hapo
 
Huo ni mtazamo wako!

Amen!
It is not a matter of mtizamo. kama jitu na eti uaskofu halioni attrocities wanazofanyiwa waumini eti kwa vile linachangiwa sadaka linakula, then hilo ni jihuni kama wahuni wengine!
 
Hawa wote ni wahuni, wana watoto mitaani!
 
Hakuna mwenye clip ya huyo Askofu? Tunaomba tuipate ili iwe kielelezo katika malalamiko yetu. Msimamo wa Papa upo wazi - hataki kulifungamanisha Kanisa na watawala dhidi ya watu wa kawaida/maskini.

Kama Wakatoliki au mtu yeyote ana uwezo wa kufikisha malalamiko yake kwa Papa. Naye kwa kutumia watu wake atachunguza ukweli wa malalamiko yaliyotolewa.
 
Mungu wangu mbona naona uchungu kuendelea!!! kuwa kondoooHHH,
Baba hata sababu za kususia huzitaji tupige kura tuuuuhhh aaahhhh waaapiiii!!????
 
mbona imeambatanishwa hapo juu kwenye uzi?Au hujaiona?
 
Kiongozi wa dini..vs...kiongozi wa kanisa...apo pananipa tabu sana...mim mkristo lakini jamaa sio kiongozi wangu
 
Yaani wanajukwaa mie nalisema Hili Ila Kama lilikuwepo bas ndio Hvyo....!!! Tangu uhuru Mpk sasa Dini zote kubwa hapa Nchini zilichangamana si Uislam au Ukristo(Roma) zingatia haya....!!!
Wakati wa Muungano Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika iliongozwa na mtawala ambaye ni Mkristo(Roma) ambao asingeweza kuunganisha Zanzibar iliyotawaliwa na mwalabu (Muislam) bila makubaliano yoyote.....!!!
Ili kukamilisha azima ya Muungano uwe na USAWA na kuepusha vita kuwepo Kati ya Mzanzibar na Mtanganyika ilibid JK kupata ridhaa ya Kidini ili kupenyeza Swala la siasa...!!!
Wakaingia makubaliano ya kubadilishana Swala la Utawala ndipo ikawa Kwa Kuwa yeye ndio chocheo la Muungano huo akaruhusiwa Kuwa mtawala wa kwanza wa Muungano....!!!! Akawa Raisi wa kwanza (Mkatoliki) Ila Ikumbukwe Kati ya makubaliano ilikuwa Utawala wa kupokezana Yaani Akitoka Mkristo anafata Muislam.... (Mark hilo neno) Ndipo uongozi ulivyokubaliana ili Muungano uwe SAWA...!!
Hii ilichukuliwa Kidini zaid Ila Kuwa na SURA ya KISIASA ndipo waliposema "Serikali haifungamani na upande wowote wa Dini" lakin Kumbuka utawala wa kupokezana ndio utaratib na SERA za chama japo ""Sio wazi katika vitabu vya SERA zao za chama"" Ebu tujikumbushe mfano wa Utawala wa kupokezana
(1)JK NYERERE(mkatoliki) (2)HASSAN MWINYI(muislam)(3)MKAPA(mkatoliki) (4)JK KIKWETE(muislam) (5)MFALME(mkatoliki) na atakaekuja LAZIMA(Msisitizo) lazima awe (6).....(Muislam) mark my word.....Niweke chumvi hapa (WAZIL MKUU)....hahahaaa 😡
N. B..!! Dini nyingi haziwez kuhamasisha maandamano na kuiongelea vibaya serikali Kwa maana wengi viongozi wao (WAKUBWA WA DINI NA MATHEHEBU) ndio washauri wa Raisi na huwa tunapewa miongozo ili kuzungushwa Kwa wachungaji wote KUTOWAHAMISIWA WATU (WAUMINI) kufanya Hvyo Kwa kisingizio wakae Makanisani ili KULIOMBEA TAIFA AMANI... (Kumbuken kipindi maandamano yalipotaka kushamili mwaka ule) wachungaji,maaskofu na mashekhe waliitwa IKULU Kabla ya kufika kwa tarehe ile ya maandamano (Tarehe ile ilipofika wachungaji weng walipewa barua na siku ile lilitolewa Tangazo Kuwa MUDA ule wa maandamano watu wote (WAUMINI) wanatakiwa kuhudhuria Ibada ya jioni Saa 9..mchana ili KULIOMBEA TAIFA AMANI (hii ilikuwa mbinu ya kupunguza wingi na ukubwa wa maandamano maana weng wangekuwa KANISAN...!!!!
Hivyo usishangae kuona Dini na mathehebu yake wako kimya juu ya mambo haya ya serikali eti hawayaoni....!!!! Wanajua vizur kabisa wakuu wa Mathehebu na Dini ndio wanajua vyema na hawawez kulizungumzia na ndio maana mchungaj yeyote ambaye hayuko kweny mfumo wa serikali akiinuka na kuzungumza anazimwa na Wenzake hao hao wa Dini husika...!!
Watanzania wenzangu kila mmoja anayohaki ya kuchagua na anayohaki ya kuhoji ili kupata chimbuko na kazi husika za Dini na dhehebu lake...!!! Na kuulzia hivyo sio dhambi unatafuta japo sehem sahih yako wew na Mungu wako....!!! Sio kila uambiwacho ni sahih Ila changanya na zako ili upate original source ya unachosikia...!!!
ISAYA 56:10-11 na YEREMIA 50:6
KUMWAMINI MUNGU NA KUTANGAZA YAKE MEMA SI LELEMAMA NDUGU ZANGU ""Tangu baada ya yona ufalme umeshikiliwa na wenye nguvu"" Et kuamini Mungu Mpk uone Muujiza (Tomaso eeh) na kila Tangazo ni kupata Muujiza tu Daah kwel
""Amini unochokiamini na chenye uhakika sio upelekwe tu Na unachokiaminishwa pasipo kujua chanzo na kinalenga nini""

Cc. KWAKHERI UKORONI KARIBU UHURU
 
Umeona eeehh
 

Attachments

  • IMG_20191116_225309.jpg
    854 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…