Askofu Nyaisonga avishangaa Vyama vya Upinzani kususia uchaguzi. Ahimiza waumini kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi

Askofu Nyaisonga avishangaa Vyama vya Upinzani kususia uchaguzi. Ahimiza waumini kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi

TEC imekuwa kigango cha CCM

Uyo raisi wa TEC apewe kadi ya uanachama wa CCM
 
Naona askofu umeamua kujitokeza kutetea ujinga wako
Nijuavyo mimi:

• Kanisa Katoliki huwa halifanyi mambo ili kumfurahisha mtu au kikundi cha watu.

• Kanisa Katoliki huwa halifanyi mambo kwa kufuata mkumbo wa watu.

• Kanisa Katoliki halifungamani na chama chochote cha siasa.

• Kanisa Katoliki halifanyi mambo ili kuongezea tatizo zaidi, bali huangalia namna nzuri ya kuleta umoja na mshikamano.

• Kanisa Katoliki halijawahi kuwa la kidemokrasia hata siku moja. Sikumbuki kama nilishalishuhudia au hata kusoma sehemu juu ya hili.

• Kanisa Katoliki hufanya mambo yake likizingatia misingi ya Ukristu likiamini hakuna mwanadamu mkamilifu.

Ninajaribu kujiuliza:

• Kuna sababu gani ya msingi ya kulifanya Kanisa Katoliki liunge mkono ususiaji wa uchaguzi?

• Sisi Watanzania, tukisusia uchaguzi, then what will be our next plan? What will we benefit from doing so? Will that change anything?

• Je, kususia uchaguzi ndio suluhusho pekee lililopo? Ndio CCM wata-retreat? Ndio kusema kuwa wataacha uonevu?

• Je, tukisusia uchaguzi, tutaleta umoja na mshikamano kama taifa, au ndio tutazidi kugawanyika?

Ninafikiri tunapaswa kutafuta suluhisho jingine. Hatuwezi kususia tu bila kuwa na reasonable plan nyingine.

Kanisa Katoliki lipo sahihi, kwa mtazamo wangu.
 
Wee jamaa ni mpuuzi sana yaani wapinzani wafanye ujinga kama mnaofanya wakununua watu kisha mnasema wanaunga juhudi zenu anyway Africa haina dalili yakuishiwa wajinga
Kabla ya yote lazima ujiulize katika viongozi wa vyama vya upinzani walioazimia kususia uchaguzi umemwona MTU mwenye uwezo wa kutoa hoja ya kulishawishi kanisa Katoliki . Kanisa lililofungamana serikali tangu enzi na enzi.
Lazika pawe na mtu anayejua filosofia ya Kanisa na mtizomo wake ili aweze kutoa hoja zenye kuweza kulishawishi kanisa hilo kwa mapana yake.
Vyama vyenye nguvu vijifunze kupata viongozi wanye maono mapana yanayoweza kujichimbia mpaka ndani ya kanisa Katoliki na sio kubaki kulia lia tu wakati wanajua wazi kuwa kanisa hilo tangu ukoloni lina ndimi mbili.
 
Taasisi ya Kanisa katoriki Tanzania kuweni makini sana.

Kumbukeni hata walioandaa mashtaka feki ya Yesu Kristo mbele ya Pirato ili tuwe walikuwa ni Makuhani...yaani wakuu wa dini.

Kubariki dhuruma ni dhambi kubwa mno.
 
Kutoa sadaka hakuhusiani na upuuzi wa hao maaskofu maana sadaka ni agano la MTU na Mungu wake ushauri wangu watu wanapoenda kwenye nyumba za Ibada akili wasiziache nyumbani waende nazo kwenye Ibada itasaidia
Viongozi wa Kanisa Katoliki wanastahili kupewa funzo wasiloweza kulisahau. Hii ni fursa ya pekee kwa waumini kutoa funzo hili mhimu sana.
1. Hakuna kutoa sadaka
2. Weka maoni kwenye sanduku la maoni

Sikutegemea kabisa kumwona Pengo mwingine mapema kiasi hiki baada ya kustaafu.
 
Amefananisha jiwe na musolini kwa namna anavyowatumia watawala wa kathoric kuumiz watu
Mkuu umelikuza sana hili jambo, Tanzania haina mfanano wowote na Italy ya Musolin.

Sijui ni kwanini huwa hamtaki kuwafanya wapinzani wawe responsible kwa makosa yao??

Yaani kulialia tu kwa almost kila kitu.

Sijui tunajenga jamii ya aina gani??

Ambayo kuna ka kikundi ka watu hakataki kufuata utaratibu wowote ila kana haki ya kupata kila kitu.

Upinzani wetu na ufananisha na madereve boda boda barabarani.
 
Kanisa katoliki limejaa majitu yanayochumia tumbo; sishangai kusikia wakikumbatia ufashishti hasa huu unaofanyika hapa nchini. Tumbo halijawahi kumuacha mtu salama.
 
Wewe ni mjinga sana una kwa mamlaka ya nani hata uwazuie watu kujadili mustakabali wa maisha yao ikiwa hata mungu wako jiwe hana mamlaka hayo zaidi yakutumia bunduki acheni huu upuuzi mnaumiza hii nchi
Binafsi nachukulia kwamba mjadala wa uhalali wa uchaguzi wa serikali za mitaa umefungwa rasmi kufuatia tamko la Baba Askofu Nyaisonga wa Kanisa kubwa kabisa nchini.

Awali wakati wa Baraza la Maulidi viongozi wa Bakwata wakiongozwa na Mufti Abubakar waliwataka Waislamu wote nchini kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa bila ya kuwa na visingizio vyovyote.

Naye Baba Askofu Nyaisonga ametoa wito kama huo wa kuwataka Wakristo wote na wale wenye mapenzi mema kushiriki uchaguzi huo kwa 100%.

Mjadala umefungwa, shime Watanzania tujitokeze kwa wingi 24/11/2019 kuchagua viongozi wetu wa serikali za mitaa.

Amen!

Maendeleo hayana vyama!
 
Labda zamani lkn siku hizi wanapiga gem na wanamiliki familia tu japo kwa kificho
Tatizo la huyu askofu ni la kisaikolojia zaidi.
Huyu ni mtu anaeishi kambini bila familia. Hana mke , hana watoto na hajui uchungu wa mwana kama isemwavyo uchungu wa mwana aujuae ni mzazi.

Sasa mtu wa namna hii kumkabidhi jukumu la kuzisimamia familia ili hali yeye hana familia yake mwenyewe aliye iweza kwa kuisimamia ndio hivyo maumivu, maudhi, uonevu, ukandamizaji, ubabe na mengi ya namna hiyo hayata isha katika jamii inayosimamiwa na mtu wa aina ya askofu Nyaisonga.
 
Wewe ni mjinga sana una kwa mamlaka ya nani hata uwazuie watu kujadili mustakabali wa maisha yao ikiwa hata mungu wako jiwe hana mamlaka hayo zaidi yakutumia bunduki acheni huu upuuzi mnaumiza hii nchi
Hutaki acha!
 
Wewe ni mjinga issue sio kuzungumza issue unazungumza nini kuhusu watu
Acha kuaminisha watu uongo. Yule Shoo wa KKKT yeye anayeongelea siasa na kuandika waraka mbona hamzunguzii.

Safari hii mtapata tabu sana. Hakuna kumbelezena ni mwendo wa kwenda mbele
 
Kwanini hawaulizi Malasusa anavyopuuzwa baada yakujificha kwenye kwapa la bashite
Hata huyo Dr. shoo akiacha kusimamia upande wa haki akisimama na shetani tutampa ukweli wake kama tunavyowapa hawa wahuni wa Roma.
 
mmezoea KKKT na vijikanisa vingine vinavyo sifu kila utumbo wa chadema?
Kanisa katoliki limejaa majitu yanayochumia tumbo; sishangai kusikia wakikumbatia ufashishti hasa huu unaofanyika hapa nchini. Tumbo halijawahi kumuacha mtu salama.
 
Back
Top Bottom