lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,038
Maaskofu na Mashekhe walikosea pale waliposhindwa kutia neo kwenye mkanganyiko wa awali katika uandikishaji, uchukuaji na urudishaji fomu. Hapa kulikuwa na sintofahamu mpaka na serikali ikakiri hizo kasoro lakini hawa jamaa hawakuongea chochote.
Ilikuwa ni busara kama wangeliendelea kukaa kimya maana ingelinda heshima yao au kama wangeongea basi wasimamie uhalisia na sio kuchagua upande!
Ilikuwa ni busara kama wangeliendelea kukaa kimya maana ingelinda heshima yao au kama wangeongea basi wasimamie uhalisia na sio kuchagua upande!