Askofu Pengo akunwa na Ufaulu shule za kanisa

askofu anafurahia mafisadi
wa baadae maana waislam wote wamefeli na serikali haiajiri mtu aliyefeli
ndo maana mnaona sekta zote wamejaa wao na ufisadi unavyolitafuna
taifa

Adam Malima
Nazir Karamagi
Juma Kapuya
Rajabu Maranda
............
ongeza na wengine,hao ni product za kanisa?
 

mjinga ni mjinga tu hawezi kamwe kuwa na akili, na hajui kwamba Canada ni taifa la mfumo kristo na wanasapoti Israel vilivyo kuwafundisha adabu magaidi wa Hamas.
 
Ukitaka kubaini wanaume wenye jinsia tofauti na ya kwao wakiongozwa na mtoa mada, soma tuu huu uzi kwa makini....
 

Nadhani umejijibu mwenyewe..
 

sina haja ya kubishana , hujaelewa ninachongea kwa sababu nadhani ni mmoja ya hao First Division...

nakusaidia ..kuelewa yaani wanafunzi wa kiislam wanaosoma school nje ya system ya NECTA huwa wanafanya vizuri sana tena..kwanini?
 
mjinga ni mjinga tu hawezi kamwe kuwa na akili, na hajui kwamba Canada ni taifa la mfumo kristo na wanasapoti Israel vilivyo kuwafundisha adabu magaidi wa Hamas.

Hao wazungu ukristo wao ni dunia yao kwenda vyema . Kwao ukristo ni utamaduni usio kuwa na fungamano na mambo yao.
Walilitenga kanisa zamani wakaja na usekula.walijua kanisa litawarejesha nyuma.
Nilikua UK wakati ule kombe la dunia likifanyika Japan/Korea makanisa yakabadilisha time table ya misa zao .kuuliza kwanini jibu maslahi ya nchi yao yapo juu ya imani za dini na hayo ni majibu ya mapadre wao.
Hivyo wao hawajali nani wanampa scholarship wanachojali uwezo wako na vp utasaidia nchi yako sio kanisa lako.
Pia elewa hizo catholics za huko kwa wazungu ni kweli ni shule nzuri sana tena sanaaa lakini hawana upumbavu wa kuweka chooni majibu ili kupata sifa hewa
Hivyo haina haja ya kutoa povu
 
 
Last edited by a moderator:
Na hao unawaona status zao za kazi zao walivo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…