UKAWA ni sikionla kufa na kiama chenu kimekaribia mtapasuana kwa sababu ya uroho wa madaraka maana Lipumba keshajitangazia ushindi teh teh teh buf buf buf buf buf buf buf wachumia tumbo buf bufView attachment 254620Na Oktoba 2015 mnazikwa rasimi!!!RIP UKAWA, 2015.
ukawa ni sikionla kufa na kiama chenu kimekaribia mtapasuana kwa sababu ya uroho wa madaraka maana lipumba keshajitangazia ushindi teh teh teh buf buf buf buf buf buf buf wachumia tumbo buf bufView attachment 254620na oktoba 2015 mnazikwa rasimi!!!rip ukawa, 2015.
Uwezo wako mfupi umefika mwisho unaruka na kukanyaga na hizo MB 8 zako teh teh tehView attachment 254517
Muhadhama ............kijana acha kukurupuka kutaja vyeo vya watu kimakosa na inaelekea hii topic umelishwa mdomoni uje kuisema hapa sijui unataka tukusaidie nini?
Mfuate ukampe huo ushauri wako then wafuate Mbatia, Slaa,Mbowe Lipumba, Lisu and the Like waache kampeni zao za Hapana!!
Povu linakutoka kisa kukosea jina kidogo lkn bado akili yako imeganda pale lumumbA
Nimeona unawayawaya na kutoa maneno yasiyo na hekima. Kukosea ni kukosea tu hakuna kukosea kidogo. Tatizo lako ni kukurupuka na kuzungumza mambo yasiyo ya msingi. Lumumba itakuwasha nini? Kawatembee ili ufurahi zaidi.
Wewe umechoka nenda kapumzike na inaonekana unaota ndoto za mchana. Pengo anapaswa kukemea dhambi na mapepo kama ana uwezo huo si kukemea serikali. Kwani yeye si serikali! Acha hizo ndugu yangu. Subiri wakati ukifika ipigie kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa. Kwanza umeshajiandikisha wewe mtu? Kama bado nenda kwenu Tunduru ukajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.Mhadhama kadinali pengo,heshima kwako,kama ulivyokemea tamko la maaskofu kuwataka wananchi kuipigia kura ya hapana katiba pendekezwa,tunakuomba uikememee serikali kwa matangazo yao na wito wao kupitia vyombo mbali mbali kuwataka wananchi waipigie kura ya ndio katiba pendekezwa.kwa kuwa wew ni mpenda haki basi tenda haki.
Kubwa zima unashangilia wizi wa rasilimali za wananchi masikini,kwa hiyo nawewe ni mmoja wao,epa,richmond,escrow,meremeta,kagoda,gesi mtwara,kutorosha twiga hai,madawa ya kulevya,biashara haramu ya pembe za ndovu
Wewe unaota unawatibia tembo meno yao
Povu linakutoka kisa kukosea jina kidogo lkn bado akili yako imeganda pale lumumbA
name: Sidanganyiki
post count 378
Huna tofauti na huyu kimeo mwenzako hapaView attachment 254706
Huna tofauti na huyu kimeo mwenzako hapaView attachment 254706