Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #41
UKAWA ni sikionla kufa na kiama chenu kimekaribia mtapasuana kwa sababu ya uroho wa madaraka maana Lipumba keshajitangazia ushindi teh teh teh buf buf buf buf buf buf buf wachumia tumbo buf bufView attachment 254620Na Oktoba 2015 mnazikwa rasimi!!!RIP UKAWA, 2015.
Kubwa zima unashangilia wizi wa rasilimali za wananchi masikini,kwa hiyo nawewe ni mmoja wao,epa,richmond,escrow,meremeta,kagoda,gesi mtwara,kutorosha twiga hai,madawa ya kulevya,biashara haramu ya pembe za ndovu
