Askofu pengo kemea na serikali

Askofu pengo kemea na serikali

Aliyekuambia kuwa msemaji wa BUGURUNI team ni nani?? Utajuta!!!!na umeshatoka kwenye hoja yako teh teh te

Magamba mnakazi kweli kweli kwani mwaka huu mtashuhudia anguko kubwa la chama chenu
 
Kadri siku za mwezi zinavyokwenda mwisho na kaugonjwa kako kanazidi kuongezeka,wewe hukwenda kwa babu kupata kikombe?

Endelea kuongeaujinga na kujaza Saver tu,pole sana kwa kumsahau Kadinali Pengo ambaye ulitaka kumdharirisha kwa makusudi na umeshindwa tokaaa!!!
 
Hili ni fundisho kwa wachumia mdomo kama wewe usirudie tena kupost topic ya ujinga kuleta ushabiki hapa Pengo sio Size yako tokaaaaa!

Huna unaloliandika zaidi ya matapishi na uharo mtupu
 
MHUUUU! Nawe unajiongelesha ongelesha nini? Kama unatatizo sema usaidiwe maana unaonekana kuzungumza tuuuu pasipo na sababu. Acha porojo.

Duuu,ebwanawe kumbe upo kimsaada zaidi?
 
Endelea kuongeaujinga na kujaza Saver tu,pole sana kwa kumsahau Kadinali Pengo ambaye ulitaka kumdharirisha kwa makusudi na umeshindwa tokaaa!!!

Bado hujapata ulilo kusudia na kwa taarifa yako hutofanikiwa
 
Gwajima ndo mwenye uwezo wa kukemea serikali ya ccm.
Gwajima namkubali sana

Gwajima haikemei serikali kwa sababu ni askofu msema ukweli asiyeogopa kuusema anaikemea serikali kwa sababu yeye ni mfuasi wa CHADEMA na sera ya CHADEMA ni kuisema hovyo serikali
 
Wewe yako ndo uharo mtupu maana hujielewi wewe mchumia tumbo

Mwaka huu lumumba team ndio hukumu yenu,kwani chama chenu kichovu kinaondolewa magogoni,hivyo mjiandae kisaikolojia
 
Back
Top Bottom