Askofu pengo kemea na serikali

Askofu pengo kemea na serikali

Mkuu unamaanisha kitu gani kwani sijakusoma vema,tulia andika vizuri wacha kumbwerambwera

Naamini kulingana na kazi yako ni suala rahisi tu la uelewa, lakini inawezekana ikawa ngumu pia kwa kuamua kwa kuwa unaonekana kutaka kuwa mtata bila sababu ili uonekane na watu kwamba umo JF. Kumbwerambwera kwako kutakufanya uanze hata kumwayamwaya. Uwe macho lakini!
 
Nenda kamwombe radhi Pengo kwa kuandika uharo!!

Mimi naweza kushika ushauri wako,ila nami nakushauri ili husife na njaa baada ya october basi rudisha card yako ya ccm,ili ujiunge na chama kimojawapo kati ya vinavyounda UKAWA,ili maisha yako yaendelee baada ya uchaguzi wa october
 
Mimi naweza kushika ushauri wako,ila nami nakushauri ili husife na njaa baada ya october basi rudisha card yako ya ccm,ili ujiunge na chama kimojawapo kati ya vinavyounda UKAWA,ili maisha yako yaendelee baada ya uchaguzi wa october
Teh teh teh CHONDOM TEAM mwaka huu mtakufa na kihoro ndo maana mnachomeka vioja humu tokaaaaa image.jpg
 
Naamini kulingana na kazi yako ni suala rahisi tu la uelewa, lakini inawezekana ikawa ngumu pia kwa kuamua kwa kuwa unaonekana kutaka kuwa mtata bila sababu ili uonekane na watu kwamba umo JF. Kumbwerambwera kwako kutakufanya uanze hata kumwayamwaya. Uwe macho lakini!

Huo ni mtazamo wako mkuu
 
Back
Top Bottom