SIDANGANYIKI2015
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,054
- 114
Naona jinsi Iq yako inavyo zidi kukutia shimoni
Hili ni fundisho kwa wachumia mdomo kama wewe usirudie tena kupost topic ya ujinga kuleta ushabiki hapa Pengo sio Size yako tokaaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona jinsi Iq yako inavyo zidi kukutia shimoni
Kadri siku za mwezi zinavyokwenda mwisho na kaugonjwa kako kanazidi kuongezeka,wewe hukwenda kwa babu kupata kikombe?
Mwenyekiti wenu keshawastukia kwa ukuwadi
Duuu,ebwanawe kumbe upo kimsaada zaidi?
Gwajima ndo mwenye uwezo wa kukemea serikali ya ccm.
Gwajima namkubali sana
Wewe yako ndo uharo mtupu maana hujielewi wewe mchumia tumboMatapishi ya mchanganyiko wa viroba
Huna unaloliandika zaidi ya matapishi na uharo mtupu
Teeeeh,teeeeh,teeeeh,teeeeh: mmeanza kutekenyana na kukenua wenyewe kwa wenyewe,chezea njaa wewe!
Mwaka huu lumumba team ndio hukumu yenu,kwani chama chenu kichovu kinaondolewa magogoni,hivyo mjiandae kisaikolojia
Gwajima haikemei serikali kwa sababu ni askofu msema ukweli asiyeogopa kuusema anaikemea serikali kwa sababu yeye ni mfuasi wa CHADEMA na sera ya CHADEMA ni kuisema hovyo serikali
Duuu,ebwanawe kumbe upo kimsaada zaidi?