Bukama Batoko
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 820
- 137
Mkuu unamaanisha kitu gani kwani sijakusoma vema,tulia andika vizuri wacha kumbwerambwera
Hakuna unaloliandika zaidi ya kumbwerambwera tu hapa jukwaani,pole sana
Unauliza upewe jibu au ufafanuliwe wewe gamba?
Teeeeh,teeeeh,teeeeh,mkuu afya yangu inaniruhusu bado nipo gado
Nenda kamwombe radhi Pengo kwa kuandika uharo!!
Mimi naweza kushika ushauri wako,ila nami nakushauri ili husife na njaa baada ya october basi rudisha card yako ya ccm,ili ujiunge na chama kimojawapo kati ya vinavyounda UKAWA,ili maisha yako yaendelee baada ya uchaguzi wa october
Naamini kulingana na kazi yako ni suala rahisi tu la uelewa, lakini inawezekana ikawa ngumu pia kwa kuamua kwa kuwa unaonekana kutaka kuwa mtata bila sababu ili uonekane na watu kwamba umo JF. Kumbwerambwera kwako kutakufanya uanze hata kumwayamwaya. Uwe macho lakini!
Teh teh teh CHONDOM TEAM mwaka huu mtakufa na kihoro ndo maana mnachomeka vioja humu tokaaaaaView attachment 254730
Teh teh teh CHONDOM TEAM mwaka huu mtakufa na kihoro ndo maana mnachomeka vioja humu tokaaaaaView attachment 254730
Utaelewa tu haina haraka
Uwezo wako wa kufikiri unaelekea kufika mwisho teh teh teh wakati wenzenu wanaongeza watu nyie mnatumwa kumtukana PengoView attachment 254734View attachment 254735View attachment 254736 RIP BUGURUNI TEAM & Co. LTD
Hata kama hujui kusoma,hata kwa kuambiwa? Pole sana mkuuUwezo wako wa kufikiri unaelekea kufika mwisho teh teh teh wakati wenzenu wanaongeza watu nyie mnatumwa kumtukana PengoView attachment 254734View attachment 254735View attachment 254736 RIP BUGURUNI TEAM & Co. LTD
Nimeamini kuwa ili uwe mwanalumumba nilazima ujitoe uelewa
Hata kama hujui kusoma,hata kwa kuambiwa? Pole sana mkuu
Naona umegeuka ulingo wa matusi