Mbona na yeye anachofanya ni uchawa pia.Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.
Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.
Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Awamu 2Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.
Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.
Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Hivyo chawa mnaaswa kuacha uchawa ambao kwa mujibu wa imani zenu ni dhambi.Hivyo mwache kizuri kijitetee bila unaa wa chawa.Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.
Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.
Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Jo,inaonekaka una jambo la kusema ila unazunguka mbuyu,ama hofu ya kapensheni kako?Askofu Dr Shoo kajiongezea miaka 6 Kuongoza Dayosisi kinyume cha Katiba
Na hakunaga wa kumgusa Hapo Kaskazini
Jamaa ni Mtemi sana 🐼
Shoo mjanja mjanja sana 😂Jo,inaonekaka una jambo la kusema ila unazunguka mbuyu,ama hofu ya kapensheni kako?
Vipindi vitatu vya kikatiba kwa hio mpaka 2035 huko, hiki alichopo ameshikilia tu pale palipoachiwa kwa hio ana vipindi vingine viwili mbeleAlioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Unamhofia yeye na pensheni yako kwani?Shoo mjanja mjanja sana 😂
Na wanaongezeka kwa kasi ya 5GChawa hata huko MadhabaHUNI wapo.....
Tayari mwingine ameishajichanganya. Hawa viongozi wa dini hawa...Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.
Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.
Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
KabisaMbona na yeye anachofanya ni uchawa pia.
Na yeye atapewa na waumini wake si wanamchangia Shekhe hana wa kumchangia msikitiniKaona sheikh kapewa discovery 4 kaona isiwe tabu .
Haya maneno yanafikirisha. Yanaleta maswali mengi.Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.