Pre GE2025 Askofu Shoo: Rais Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote viwili vya kikatiba

Pre GE2025 Askofu Shoo: Rais Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote viwili vya kikatiba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.

Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.

Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Tusiobiri tuone yule mpuuzi wa Arusha atatoka na povu la aina gani ,asante sana Baba Askofu.
 
Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.

Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.

Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Mbona sijaona alipotaja vipindi 2, zaidi ya maneno vya kikatiba?
 
Mbona sijaona alipotaja vipindi 2, zaidi ya maneno vya kikatiba?
Vipindi vitatu sio viwili mpaka 2035 nyoosha maelezo hii amechukua tu sub bado yeye kuingia kupiga jaramba kwa nafasi yake akamue vipindi vyake viwili ukijumuisha na hiki vitatu
 
Kuna viongizi wa dini wahuni kama wahuni wengine! Anaeongea na BWANA anaonekana sio fala kama huyo!
 
Shoo kasoma alama za nyakati. Nampongeza sana. CHADEMA tafadhali msije mkaanza kumtukana Askofu wenu kwa kuongea ukweli
 
Back
Top Bottom