Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tulishakubaliana yupo awamu ya sita.Vipindi vitatu sio viwili mpaka 2035 nyoosha maelezo hii amechukua tu sub bado yeye kuingia kupiga jaramba kwa nafasi yake akamue vipindi vyake viwili ukijumuisha na hiki vitatu
Chawa mwingine huyu 😂Akiongea katika Ibada ya kuwaaga Watumishi wa Dayosisi ya Kati, Singida Majini, amesema Raisi Samia hakuingia madarakani kwa bahati mbaya Bali kwa Mpango wa Mungu.
Amesema Raisi Samia haitaji kufanyiwa uchawa wa kinafki na kampeni za kinafki, maana kuwepo wake ni kwa kibali Cha Mungu mwenyewe.
Alioneshwa kuwa Raisi Samia ataongoza Nchi kwa Vipindi vyote vya kikatiba. Na kwa mkono wake atatenda mambo makubwa pengine kuliko hata viongozi waliomtangulia.
Safi sana umeliona hilo. Ya nini ifanye kazi kwa wasio nayo?Akili yako haifanyi kazi
Vipindi vitatu sasa yupo kwenye kipindi cha kwanza bado ana vipindi viwili mbele kwa hio mpaka 2035 funga mkandaNyie machawa mtasababisha machafuko mjiue maana kuna watu umri unakwenda na hawaoni dalili ya kuingia pale.
Ndio maana mmepewa huu ujumbe muache mara moja mambo yenu.
Kwa hio rasmi anaanza ngwe yake 2025 anaenda kuimalizia 2035 maana hio ya 2021-2025 kamshikia rais aliekuwepo akaenda bado ya kwake 2025 mpaka 2035Hapana Kikatiba Rais Samia anaruhisiwa kuongoza..
1.2021-2025
2.2025-2030
Hawakumwelewa Baba Askofu Shoo amemaanisha nini!?Awamu 2
1. 2015 - 2020 akiwa na magu
2. 2020 - 2025 bila Magu.
Hiyo ni awamu ya tano ya vipindi viwili!
Ndio mpaka amalize awamu ya 8 kwa hio kaa kwa kutuliaSi tulishakubaliana yupo awamu ya sita.
Nyie hamna mkatabq na Mungu. Subirini muone matendo makuu ya Mungu.Kwa hio rasmi anaanza ngwe yake 2025 anaenda kuimalizia 2035 maana hio ya 2021-2025 kamshikia rais aliekuwepo akaenda bado ya kwake 2025 mpaka 2035
Amemaanisha mpaka 2035 sio mpaka 2025 yaan 2025 mpaka 2035 ndio kamaanisha hivyoHawakumwelewa Baba Askofu Shoo amemaanisha nini!?
Mkataba unao wewe?Nyie hamna mkatabq na Mungu. Subirini muone matendo makuu ya Mungu.
Kwa hio mpaka 2035Kanisa moja takatifu
KATOLIKI LA MITUME
Jichanganye nwenyewe uko kwengineko.......