dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Kwann huyu askofu anatatauzo gani au anatoa mwanae asome apate cheo serekali I
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapokuwa upande wa ile SACCOS unakuwa huoni ehe?acha sindano iwaingieAibu sana kwa kiongozi Kama yeye kutumika kisiasa
Anataka awe kama KITIMAKwann huyu askofu anatatauzo gani au anatoa mwanae asome apate cheo serekali I
Aibu kubwa sn kwa Askofu kuongea ujinga kama huoMbona na yeye anachofanya ni uchawa pia.
Hapo amevuta pesa ndefuAskofu Dr Shoo kajiongezea miaka 6 Kuongoza Dayosisi kinyume cha Katiba
Na hakunaga wa kumgusa Hapo Kaskazini
Jamaa ni Mtemi sana 🐼
Yes ndiyo ujue tunaongozwa na matapeli ya diniKaona sheikh kapewa discovery 4 kaona isiwe tabu .
Mchagga na pesa 😂😂😂Hapo amevuta pesa ndefu
Kama wakinga na ushirikinaMchagga na pesa 😂😂😂
Huyu siku zote mlikuwa mnapigia makofi ,leo amekuwa adui.SHAMEHii nchi ina maaskofu walevi kupita kiasa
Wamachame na ChademaKama wakinga na ushirikina
Nyie UWT ni washirikina mtakuwa mmemlogaHuyu siku zote mlikuwa mnapigia makofi ,leo amekuwa adui.SHAME
Hakuna wa kumzidi mzee MboweHii nchi kila kona yamejaa majangili tupu
CHADEMA imesambaa nchi nzimaWamachame na Chadema
UWT sio wabaya kama wale vibaka wa BAwacha wanaochoma nguo(WEHU)Nyie UWT ni washirikina mtakuwa mmemloga
Embu nendeni Zanzibar ,Mtwara au hata hapo Dodoma tu kwa ajili ya mkutano wenu wa maandamano.CHADEMA imesambaa nchi nzima
Nyie UWT mnaumia nini?Hakuna wa kumzidi mzee Mbowe
Sahivi mpo na akina HalimaUWT sio wabaya kama wale vibaka wa BAwacha wanaochoma nguo(WEHU)
Watu wapo wakutoshaEmbu nendeni Zanzibar ,Mtwara au hata hapo Dodoma tu kwa ajili ya mkutano wenu wa maandamano.